Elimu ipo Kila mahali hata hayo magari yameandikwa "INFLAMMABLE" tena kwa rangi nyekundu na Kila mtu anajua tabia ya petroli, basi tu umasikini wa kipato ukikomaa huleta umasikini wa akili. Kwa hili Watanzania tujifunze kufanya kazi tuache tamaa.
Sidhani kama hilo ni tangazo halali.
1.Halina mhuri.
2.Halina nembo yoyote ya kitaifa/kimkoa.
3.Halina kichwa maalum cha tangazo.
4.Halina saini yoyote.
SIDHANI KAMA NI TANGAZO HALALI LA KISERIKALI.
Kweli... Ukuta ni muhimu sana maana hata kama mtaa hauna vibaka bila ukuta siku wakiwatembelea kutoka mbali wanaingia ndani km kwao vile.
Kingine watu hupenda kupanda miti ya matunda na kuacha vitu vingi tu vya thamani nje usiku, ukuta unapunguza tamaa ya wezi kuja kwako.
Umeshawaona Muhimbili au KCMC?
Hebu jaribu kwanza kuwaona hao jamaa kuna dawa fulani inaotesha na kurudisha melanin ya ngozi upya. Ukiwaona watakushauri cha kufanya.
Hayo ndiyo madhara ya kumtegemea mwanadamu, iko wazi mwanaume alimtegemea sana huyo dada aidha kimapenzi au msaada wa kimaisha baada ya kumsomesha sasa anaona kila kitu hakiwezekani bila yeye...'that's foolish'. Tusiwezekeze kwa mtu baki kwa mikataba ya hovyo kama hiyo, kama unamsaidia msaidie...
Usiwe na waswasi siku hii ya wajinga inaendelea kujifuta yenyewe taratiiibu, huko nyuma ilikuwa mpaka kero lamina sasa unaweza kukaa siku nzima wala usijue leo ni siku ya wajinga duniani. Kufutwa ni ngumu ila maudhui ya siku hii yatabadilika sana siku zijazo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya ving'amuzi vingi kuzingua niliamua kununua continental ila sasa nao ni pasua kichwa. Hawako hewani takriban mwezi sasa, nikiwapigia hawanijibu (wananiwekea miziki tu). Mbaya zaidi ni kama wamenisubiri nimelipia kifurushi siku ya nne tu wakakata chaneli mpaka leo kimya. Jamani kwa...
Wanaume wengi tumesahau wajibu wetu.....hahaha hata kutongoza unashindwa mpaka unabaka mtoto tena wako!
Jamani tumrudie Mwenyezi Mungu yote haya yataisha ILA aliyetenda unyama huu sheria ichukue mkondo wake.
Ni aibu kwa Watanzania.
1.Eti idadi ya watu waliongia ktk kivuko hawaijui.
2.Uzito halisi wahusika hawaujui.
3.Kivuko cha watu 150 wanaingia takriban watu 400 na mizigo zaidi.
4.Vivuko vingi vina screen tvs ila zote zinapiga miziki na bongo muvi tu badala ya kutoa elimu ya usalama na jinsi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.