Daraja Busisi - Kigongo: TANROAD watangaza zabuni

Daraja Busisi - Kigongo: TANROAD watangaza zabuni

Hii ni habari njema kwa wakazi kanda ya ziwa na magharibi.
Daraja urefu 3.2Km, na Barabara 1.66 Km
Hongera JPM na wote Kwa hatua hii.
Kwanini Tanroads wasijenge wenyewe? Wataalam si wanao? Ma-Engineer wote walio nao wanafanya nini?

Hizo zabuni zinatolewa kwa makampuni ya kitanzania au ya nje?
 
Hii ni habari njema kwa wakazi kanda ya ziwa na magharibi.
Daraja urefu 3.2Km, na Barabara 1.66 Km
Hongera JPM na wote Kwa hatua hii.
Imakaa sawa hii! Sasa Geita-Mwz route itaokolewa muda sana.
 
Kwanini Tanroads wasijenge wenyewe? Wataalam si wanao? Ma-Engineer wote walio nao wanafanya nini?

Hizo zabuni zinatolewa kwa makampuni ya kitanzania au ya nje?
Wazo jema ,Tanroad waweke sharti Kampuni za kigeni,kufanya miradi kwa JV na Kampuni za wazawa., itasaidia kuinua Makampuni ya ndani uwezo.
 
Wakati wakosoaji wanajiandaa kuingia kwenye uzi huu mimi kesho navuka kutafuta shamba hapo Sengerema!
Hakika alama zitakazoachwa na JPM hazitafutika kamwe
 
Mradi huu unanze haraka iwezekanavyo.... Huu utakuwa mradi mkubwa sana...natumaini Tanroad itahakikisha graduate engineer wanapata nafasi kwenye mradi huu muhimu kwa nchi. Haya ni maendeleo ya nchi yetu....vijana fursa hizo.
 
Inaitwa kubebwa, shule au mtaji? si mikopo ipo

Wazo jema ,Tanroad waweke sharti Kampuni za kigeni,kufanya miradi kwa JV na Kampuni za wazawa., itasaidia kuinua Makampuni ya ndani uwezo.
 
[emoji3][emoji3]
Hahaha ila korosho zetu ni bora dunia nzima to be axact, na zinapendwa sana dunia nzima na zina soko na bei ya kipekee huko kwenye soko la dunia. Alisema rais wetu kwamba hata dunia nzima inatushangaa maajabu tunayofanya.
Hivyo usishangae hizi sifa ni zetu awanu ya tano.
 
Hahaha ila korosho zetu ni bora dunia nzima to be axact, na zinapendwa sana dunia nzima na zina soko na bei ya kipekee huko kwenye soko la dunia. Alisema rais wetu kwamba hata dunia nzima inatushangaa maajabu tunayofanya.
Hivyo usishangae hizi sifa ni zetu awanu ya tano.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Dah.
 
Back
Top Bottom