Wakuu salama, Kwanza nianze kwa kusema kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake na Sikuzote mwenye kisu kikali ndio Atakula nyama.Ivo nayaandika haya Sio kwamba nataka direct support hapana Nataka Muongozo na Ushauri na Exposure kwa watu waliopita Huku.
Mimi ni kijana wa makamo Around 23s Ni...
Manesi kwa kweli asilimia kama sio yote ni mizigo, Wanakera mno licha ya kuwa na roho mbaya wanapokomaa na kazi kuna kila sababu ya hawa watu kufatiliwa point to point mana Hawakulazimishwa kusoma Nursing kama hawakusomea kwa wito bali njaa zao nasema Wawe makini
Wakuu mimi akili yangu yote inawaza Abroad Nipo masomoni bado ila nafikili zaidi kuishi abroad baada ya kumaliza Chuo, Nahitaji Brothers and sister mlioko mataifa mbalimbali nje ya Africa mnipe ABC pa kuanzia ata kama ntafanya kazi out of my professional, Natumia muda mwingi kujifunza lugha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.