Wanajamvi waliosoma Likonde Seminary Miaka ya 80 na Tisini wapenda kuwaarifu mwenzetu Alphonse Nchimbi amefariki dunia jana. Taratibu za kusafirisha zinafanika kivule tayari kwenda wilaya ya Nyasa Ruvuma kwa Mazishi. Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. Amen
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app