Zamani na hata katika Biblia wanawake walikua hawahesabiwi hivyo Adam na Hawa walikua na watoto wakike na hawakuandikwa na basi waliolewa na Abel na Kain
Toka wiki iliopita Bukoba ilipo kubwa na Tetemeko la Ardhi siasikia wizara yoyote wala Raisi wala Bunge wala mku wamkoa kutoa pole kwa wahanga wa Tetemeko Bukoba je serekali haina taarifa au ndio wanabana matumizi wanunue Ndege nyingine....???
Sioni sababu ya TCRA kuwalipa hao wenye ving'amuzi nahuku wanaweza kuweka sheria ukiweleta king'amuzi tukikupa masafa(frequency) unaonesha chanel5 za ndani buree
Hoa niwafanya bihashara kwann walipwe tena inamaana hata TV yataifa TBC tutalipia...???
Nasikia MillardAyo ameacha kazi Clouds FM na kapata mchongo huko Marekani
1.Amplifire hatangazi tena
2.Top20 hatangazi tena
3.Hajajihusisha hata kidogo na FIESTA kwa Website yake,FB wala Instagram
4.Istagram yake ametoa ile clouds meadia groo kaweka Broklyn, NewYork
Jee ni kweli hiii....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.