Lowassa hawezi kuongea sana kwa sababu anaogopa kuzomewa kutokana na tuhuma za ufisadi, pia ni mgonjwa mpaka aotee siku akiwa fiti kusimama na kuongea japo kwa dakika 5. Huwatuma wapambe wake, ambao ni Peter Serukamba, Beatrice Shelukindo, Vita Kawawa, Makongoro Mahanga, Diana Chilolo, Kingunge...