Salaaaaaaam.!
Hii imekaaje wakuu.! Mwanamke akikutaka kwa kukushawishi au kukutongoza kabisa ila ukamkatalia kuwa nae hata kwa njia za kistaarab na kiuungwana lazima ajenge chuki juu yako.!?
Naomba nitoe Swadaqa yangu ya Mwez mtukufu kwenu ndugu zangu ktk Iiman.
Mwenye kuhitaji darasa za tafsir ya Qur'an za Sheikh Msellem Ally msellem anicheki PM..
Nakuhakikishia hutojuta na utanufaika sana kupitia audio hzo..
Sent using Jamii Forums mobile app
katika wale masheikh yupo m1 anaitwa Msellem Aly... ni miongon mwa wanadam ninaowahusudu sana kutokana na ufundishaj wake ni jins anavyoitumia elim yake kunufaisha wengne..
Allah amjaalie kila lenye kher duniani na Akhera
Sent using Jamii Forums mobile app
zama za Kina Muhammed Aly sie wengne bado hatukuwa duniani. Ila tulibahatika kuwashuhudia mabondia wa kwl AkinaMyke Tyson, Evander Holyfield, Lennon Lewis, Bruno na wengine.. hawa mabwana kwl walikuwa wanapiga makonde si mchezo.
Ila mabondia hawa wa kileo kuanzia Uzito wa juu akina Anthony...
Nakubaliana naww kwa 100% ktk hayo maelezo yako kwa Evander Holfield na Mike Tyson.. umeelezea vyema sana na umepita mule mule. Lewis skuwah mfuatlia sana
habari zenu?..
bila shaka weekend imeenda vyema mpaka dakika hii..
twende katika mada husika....
kama kisemavyo kichwa cha habari..
Je ni jambo gani ulilowah kulifanya I sha ukaja jutia baadae ktk ulimwengu wako wa mapenz?..
1- nilivunja ratiba zangu na kunfuata dem umbal kiasi, nilipokuatana...
Bila shaka weekend imeenda vyema kwenu kama ilivyo kwangu
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna uvumi ya kuwa wanawake wengi sana huingiliwa kimwili na waganga wa kienyeji aidha kwa matakwa yao au kwa masharti husika ya muda huo na inasemekana wanawake wengi waendao kwa waganga hukumbwa na...
mkuu umetumia hyo lugha ya watu kusumbua akili zetu utadhan ada za shule ulikuwa unatulipia wewe.....
Huu uzi watu wameupitia mbali mana wameona kizungu zungu tu..
Nawasalimu.
Yuko wapi Pendaeli Omari aliyekuwa anafanya kazi ya utangazaji TBC1...
yule jamaa ni hodari wa kuandaa vipind na kutangaza pia, anajua kuipamba taarifa na kumshawishi mtazamaji,
binafsi nilimjua miaka ya 2009.. kupitia kipindi cha kila siku cha jambo Tanzania kilichokuwa kinarushwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.