Recent content by dorr

  1. D

    Lema: Kama kuna mtu anatakiwa kuombewa ni Lissu

    Haya mdugu tumwombee lisu mh
  2. D

    Exclusive: CHADEMA yafichua mbinu za kukiua chama - June 23, 2013

    dr. endelea na utaratibu wako ulio nao katika kulikomboa taifa hili tunakuamini, tunakuheshimu, tunakupongeza, siku zote udhalimu hauwezi kushinda haki tupo pamoja na wewe, waache waendelee kupiga kelele usihangaike nao, wapuuze .
  3. D

    CHADEMA wasafirisha miili ya marehemu kwa maziko. Familia yaikataa serikali

    eti nani hao walioshikana mabega? ni wapenzi?
  4. D

    Msaidizi wa Mwigulu atimkia CHADEMA

    sina shaka na kujiunga kwake na chama cha ukombozi cdm, naamini viongoz wetu wanamfahamu vizur kuliko mimi, pia viongozi wangu wapo makini sana ,nashauri tu uanachama ni haki yake nafasi ya uongozi ndani ya chama, tujiridhishe sana asije kuwa ndio kaagizwa na mchemba, kutengeneza mkanda wa video...
  5. D

    Uchaguzi wa mabaraza katiba-Kilolo gizani

    kilakala, kichangani, kiwanja cha ndege, bigwa zote katika manispaa ya morogoro ni giza totoro, wanasherie na wapenda maendeleo tuongozeni tufanyeje, kwa kweli tunachezewa rafu sana na ccm, hakuna katiba ya wananchi itakayopatikani ni katiba ya ccm, tuchukue hatua tafadhali
  6. D

    CHADEMA yasitisha oparesheni M4C na kuitisha kikao cha Kamati Kuu

    Naungamkono kikao hicho, Napendekeza pia kuwe na mpango wa kuzungumza na wananchi kila mwanzo wa mwezi kupitia kiongozi wa chadema cc ya chadema sio lazma awe mwenyekiti ktk mambo mbali mbali ya kitaifa garama za hewani tutachangia watanzania
  7. D

    Kwako MNYIKA: CHADEMA andaeni kongamano la kitaifa kuhusu Tanzania after 2015

    Naunga mkono hoja, nyongeza yangu pia chadema waandae utaratibu wa kuzungumza na watanzania kila mwanzo wa mwezi kuhusu mambo mbali *2 yakitaifa. napendekeza sio lazma iwe ni mwenyekiti bali yeyote atakaekuwa ameteuliwa kutoka nec ya chadema. vipindi hivyo virushwe hewani ktk Tv (S) garama...
  8. D

    Kwako MNYIKA: CHADEMA andaeni kongamano la kitaifa kuhusu Tanzania after 2015

    Naunga mkono hoja, nyongeza yangu pia chadema waandae utaratibu wa kuzungumza na watanzania kila mwanzo wa mwezi kuhusu mambo mbali *2 yakitaifa. napendekeza sio lazma iwe ni mwenyekiti bali yeyote atakaekuwa ameteuliwa kutoka nec ya chadema. vipindi hivyo virushwe hewani ktk Tv (S) garama...
  9. D

    Polisi: Marehemu Ally Zona aligongwa na kitu kizito na sio Risasi

    ni ngumu sana kumkabidhi fisi bucha au zizi la mbuzi hatutaweza kupata suluhu hadi tume huru ya mahakama
  10. D

    Morogoro: Viongozi wa CHADEMA wakamatwa na polisi, vurugu zaibuka!

    picha tafadhali mungu ailaze pema roho ya marehemu .....
  11. D

    Marufuku walimu waliogoma kushiriki sensa - serikali!

    Hatimae walimu wanyimwa rasmi kushiriki zoez la kuhesabu watu (sensa)kisa etu wameshiriki mgomo. Ubinafsi / upendeleo mkubwa watumika kugawa nafas yabainika fiv ni wengi 75% tena walioshindwa (div iv na div. 0) hapa ni morogoro nawasilisha nipeni ya sehemu nyingine za tz
  12. D

    Marufuku walimu waliogoma kushiriki sensa - serikali!

    Hatimae walimu wanyimwa rasmi kushiriki zoez la kuhesabu watu (sensa)kisa etu wameshiriki mgomo. Ubinafsi / upendeleo mkubwa watumika kugawa nafas yabainika fiv ni wengi 75% tena walioshindwa (div iv na div. 0) hapa ni morogoro nawasilisha nipeni ya sehemu nyingine za tz
Back
Top Bottom