Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Leo nimesoma gazeti la Mwananchi kuna habari kuu kwamba tishio la urais CDM ni Dr.Slaa.baada ya kusoma sasa nimeamini kwamba CCM tayari wameridhika kushindwa kabla ya uchaguzi 2015, Mh. Sitta kathibitisha hilo ila hofu yake ni kwamba iwapo CDM mtashinda mtawezaje kuunda serikali. Lakini pia nimemuona Mh. Sitta anaupeo mdogo kuhusu mfumo wa vyama vingi, kwa kutokujua kwamba serikali inabaki kuwepo na ndiyo maana watumishi wanaaswa kuwa tayari kupokea serikali mpya kwa maaana CHAMA KIPYA TAWALA.
Mada yangu kwako Mnyika ni kwamba, tumeridhika na operation zenu kama OP SANGARA, M4C na zingine tunaamini mmepitia karibu tanzania nzima na sasa kwa hii operation yenu yenye timeframe ya kuishia MAY2013 mtakuwa mmepata mafanikio makubwa.
Tunachoomba kwenu CDM muandae kongamano la kitaifa litakalozungumzia mustakabri wa serikali mpya chini ya CDM, kwa kushirikisha wawakilishi maalumu wa makundi ya wakulima, wafanyakazi, wasomi na wanaharakati. Makongamano haya yatakuwa na jina la mikutano ya ndani.
Nawashauri mteue kanda tano ili kila kanda yafanyike hayo makongamano, mfano kanda ya ziwa centre ikawa MWANZA, kanda ya kasikazini centre ikawa ARUSHA, kanda ya kusini centre ikawa Mbeya, Kanda ya kusini mashariki centre Mtwara, n.k
Mada kuu iwe ni kupata ushauri kutoka kwa wadau namna bora ya kuja kuunda a new internal control government system, sytem ambayo itadhibiti rushwa, utawala bora, udhibiti wa rasilimali na pia kongamano hilo litatoa mapendekezo ya ukubwa wa serikali.
Ni hayo tu
Mada yangu kwako Mnyika ni kwamba, tumeridhika na operation zenu kama OP SANGARA, M4C na zingine tunaamini mmepitia karibu tanzania nzima na sasa kwa hii operation yenu yenye timeframe ya kuishia MAY2013 mtakuwa mmepata mafanikio makubwa.
Tunachoomba kwenu CDM muandae kongamano la kitaifa litakalozungumzia mustakabri wa serikali mpya chini ya CDM, kwa kushirikisha wawakilishi maalumu wa makundi ya wakulima, wafanyakazi, wasomi na wanaharakati. Makongamano haya yatakuwa na jina la mikutano ya ndani.
Nawashauri mteue kanda tano ili kila kanda yafanyike hayo makongamano, mfano kanda ya ziwa centre ikawa MWANZA, kanda ya kasikazini centre ikawa ARUSHA, kanda ya kusini centre ikawa Mbeya, Kanda ya kusini mashariki centre Mtwara, n.k
Mada kuu iwe ni kupata ushauri kutoka kwa wadau namna bora ya kuja kuunda a new internal control government system, sytem ambayo itadhibiti rushwa, utawala bora, udhibiti wa rasilimali na pia kongamano hilo litatoa mapendekezo ya ukubwa wa serikali.
Ni hayo tu