AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Kumekuwa na maneno mengi ya hapa na pale kufuatana na gazeti Al-huda kuandika habar ya shehk ponda kugombea ubunge 2015 ubungo. Wapo wengi wanapinga kuwa hana uwezo huo lakin pia wapo wengi wanaosema anafaa.
Sasa piga kura yako kati ya JJ Mnyika vs Shehk ponda na utoe na vigezo ni nani anayefaa zaidi.
Karibuni & piga kura yako.
Sasa piga kura yako kati ya JJ Mnyika vs Shehk ponda na utoe na vigezo ni nani anayefaa zaidi.
Karibuni & piga kura yako.