Habari zenu,
Kuna dada mmoja ana mtoto mlemavu, mwanaume amemkataa kisa amezaa mlemavu, sasa amehangaika amesomea mipango miji, Anahangaika kutuma maombi ya ajira sehemu mbalimbali, lakini amekosa, na anapata changamoto kumlea mtoto, anaomba msaada wa kazi yoyote aweze kujihudumia yeye na mwanae.