Tatzo huo mfumo wa kulipa ada kwa mtu binafsi ndo lilipo anzia, solution hapo ni shule ipate haki yake, huyo mwalimu pambana naye indivudual ila shule haihusiki
JembeKillo, Mkuu jana wametoka kumpiga dereva wangu wa daladala hapo banana bila sababu, eti wana haraka kwanini anasabisha foleni, walivyojibiwa kuna ajali, kuna gari zimepigana pasi, ndo wanashangaa wakati wameshamuumiza mkono hadi umevimba balaa na kidonda juu. Wanatumia nguvu nyingi, akili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.