Recent content by doper

  1. doper

    LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji

    Mkuu mimi hoyo fic nilishauriwa kujiunga, ila nimetoa pesa yangu yote tangu jana,maana siwaamini
  2. doper

    Naomba kujua kwanini whatsapp GB inaomba udownload official apps? GB inaondolewa?

    Mi yangu ilikubali hapo hapo bila shida kutok fm.whatsap to oficial whatsap
  3. doper

    Shule ya English Medium imegoma kumuhamisha mwanangu. Hatiani kukosa mtihani wa darasa la nne

    Tatzo huo mfumo wa kulipa ada kwa mtu binafsi ndo lilipo anzia, solution hapo ni shule ipate haki yake, huyo mwalimu pambana naye indivudual ila shule haihusiki
  4. doper

    Lodge nzuri Temeke

    Mkuu mbona umempa kila la kheli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  5. doper

    Old School: Je, Unazikumbuka nyimbo na wasanii wa Bongofleva wa enzi hizo?

    Hekaheka za dent na ticha G solo ft inspector haroun
  6. doper

    Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

    Kweli mkuu, story anoengeza vitu vingine hata havina maana,
  7. doper

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    CBM crew, kaimba AY na na marehem Vivi, wimbo unaitwa yatupada
  8. doper

    PC Emanuel Keralyo Waitara, mmoja wa askari aliyeuawa na Hamza

    JembeKillo, Mkuu jana wametoka kumpiga dereva wangu wa daladala hapo banana bila sababu, eti wana haraka kwanini anasabisha foleni, walivyojibiwa kuna ajali, kuna gari zimepigana pasi, ndo wanashangaa wakati wameshamuumiza mkono hadi umevimba balaa na kidonda juu. Wanatumia nguvu nyingi, akili...
  9. doper

    Wauzaji wa Tyre na battery za magari aina zote

    Unazo tairi size 215/ 17.5 za nissan civilian tubeless, na wauza bei gan
  10. doper

    Nimepatwa na tatizo kwa sababu ya uzembe na niko hatarini kupoteza kazi

    Mkuu umeuaa kila kitu, huyu dogo ni mtoto bado anakuwa so anakaa bila kazi anatunga uongo wake kuleta JF
  11. doper

    INAUZWA Ushauri: Unaehitaji kununua mashine Tanzania

    Mkuu na blender hizo za lita 4 bei gani
Back
Top Bottom