Aisee mkuu we acha tu , hii hali ilikua ikifika siku ya safari asubuh yake naamua kumuaga wife kwa machozi naondoka kabla hata watoto hawajaamka maana nikiwaona huzuni zao ninaweza kughairisha kuondoka
Daah , asante kwa story yako mzee , nimejifunza mengi sana na nilikua nimeshakata tamaa baada ya kupoteza muelekeo wa ajira yangu kwenye umri wa 32 ila kwa story yako hii naini bado nina nafasi wacha niwe na matumainj
Kila la kheir pata siku utembelee zanzibar kuna so beautiful places you have...
Sio mafinga tu HIV vijijini mkoa wa mara pia napo ipo ya kutosha
Nilienda huko kwa kazi ya mkataba hii miradi ya wadau wanao support wanaoishi na HIV aisee
Nimekoma kwenda huko katu sirudii
Binafsi nimetumia pep mara 2 pia nimezika wengi tu na kushuhudia vijana wadogo sna wakiteseka na hilo...
Habari, kwa muda mrefu nimekua nikitafta nafasi ya kazi hata ya kujitolea katika hospital hapa dar es alaam bila mafaniko.
Elimu yangu ni diploma in medical laboratory science with more than 3 years of job experience.
Naomba mwenye ideas ya kitu chochote productive online hata offline niweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.