Recent content by Donyongijape

  1. Donyongijape

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya ugaidi Tanzania; Serikali ijifunze

    Bro, Umeandika... kudos
  2. Donyongijape

    JamiiForums Tanzania Rasmi: Kibu Dennis ni Mtanzania

    Taarifa zote hazisemi huyo Kibu alikuwa Raia wa Nchi gani?
  3. Donyongijape

    JamiiForums Tanzania Siku ya Demokrasia Duniani (2021): Rais Samia azungumza na Wanawake wa Tanzania, jijini Dar es Salaam

    Duh, Rais mzururaji, mara Dar Mara Dodoma... week in week out. Perdiem tu hapo zinapigwa
  4. Donyongijape

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe, James Mbatia Wahudhuria kesi ya Uhujumu Uchumi yenye Mashtaka ya ugaidi ndani yake inayomkabili Mbowe

    Mahakama ya Mafisadi papa inashughulikia Ufisadi/Ugaidi wa LAKI SITA, 600,000/=. Magufuli akifufuka atawachapa makofi mbwa hawa
  5. Donyongijape

    JamiiForums Tanzania Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

    Alafu kuna mtu anasema Mbowe Gaidi
  6. Donyongijape

    JamiiForums Tanzania Sijui kama mtazamo wangu uko sawa, ila nawaona wote wanaopinga chanjo kama wana shortage kichwani!

    Na wewe unayekubali tunakuona una shortage vile vile. Tusipangiane
  7. Donyongijape

    JamiiForums Tanzania Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?

    Hakuna Bwana Hayati, Kuna Hayati, Marehemu au Mwendazake. JPM enzi zimekwisha
  8. Donyongijape

    JamiiForums Tanzania William Erio: Mwisho wa Enzi kwa Boss wa NSSF au Mwanzo Mpya?

    Ndo manake
  9. Donyongijape

    JamiiForums Tanzania William Erio: Mwisho wa Enzi kwa Boss wa NSSF au Mwanzo Mpya?

    Lini aliwahi kutupwa? Ila hapo alipokwenda ni kama wale mapolisi wanaopelekwa makao makuu kusoma magazeti 🤣
  10. Donyongijape

    JamiiForums Tanzania Mzee Kikwete avaa fulana isemayo "Kasi isambazayo tabasamu"

    Hio Sio Tshirt ya Yanga, ni Tshirt maalum ya Mbio ya CRDB Marathon 2020.
  11. Donyongijape

    JamiiForums Tanzania A living legend: Bado namuomboleza Hayati Magufuli, Shujaa wa Afrika

    Tusilazimishane kwamba eti kafanya mazuri tu oooh blabla, kila mmoja ana haki ya kuona katika angle yake, na sio dhambi ndo diversity ya ubinadamu. Marehemu atabaki kwa historia kama rais aliyebinya demokrasia zaidi, rais alieiba kura kupindukia, rais aliyefunga kila aliyemkosoa, rais...
  12. Donyongijape

    JamiiForums Tanzania Je, Rais Samia anayo haki na misingi ya kuongoza Tanzania Bara (Tanganyika) kwa mambo yasiyo ya Muungano?

    Mzee nilikuwa sijakuelewa kutokana heading ila nimesoma mara mbili mbili nimekuelewa. Kudos
Back
Top Bottom