Zitto Kabwe, James Mbatia Wahudhuria kesi ya Uhujumu Uchumi yenye Mashtaka ya ugaidi ndani yake inayomkabili Mbowe

May 24, 2017
11
14
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia ni miongoni mwa watu waliohudhuria kesi ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe inayofanyika Leo Agosti 31, 2021 katika Mahakama kuu kitengo cha Uhujumu Uchumi Jijini Dar es salaam.

Zitto Mbatia.jpg
Mwenyekiti wa TCD, Zitto Kabwe akiwa na mwenyekiti aliemaliza muda wake kwenye taasisi hiyo, James Mbatia, wakijadiliana na Afisa wa Siasa Ubalozi wa Marekani, Phil Nervig nje ya mahakama walipoenda kusikiliza kesi ya Freeman Mbowe
 
Gaidi kachoka hoi.
ngoma bado mbichi kabisaa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kawaambieni na tunazidi kukaribiana na wengine kuliko wakati mwingine.

Kawaambieni ni suala la muda tu kama masikio yangali na chembe ya ubinadamu.

Ila kama anavyosemekana huyu mwamba:

IMG_20210829_163746_049.jpg


Mnaweza waambia bado ni abiria wetu sisi ma taxi drivers.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Kwenye mwendelezo wa kesi ya uhujumu uchumi na ugaidi wa kupanga mauaji kwa viongozi wa serikali inayomkabiri mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe leo amefikishwa kwenye mahakama ya mafisadi iliyoanzishwa na aliyekuwa rais wa tano hayati Dr Magufuli ikiwa maalumu kwa ajili ya kushughulikia mapapa wa ufisadi nchini.

Kwa mara ya kwanza, Mbowe na wenzake wafikishwa Mahakama ya Mafisadi (video+) Kwa mara ya kwanza, Mbowe na wenzake wafikishwa Mahakama ya Mafisadi (video+) – Millard Ayo TV
Umepotosha wananchi toka kwenye heading .
Mahakama kuu devision ya ufisadi na uhujumu uchumi ipo Tanzania kabla hata ya huyo magufuli kuchukua formu ya kugombea uraisi
 
Mahakama ya Mafisadi papa inashughulikia Ufisadi/Ugaidi wa LAKI SITA, 600,000/=.

Magufuli akifufuka atawachapa makofi mbwa hawa
 
Kwahiyo Mbowe anashitakiwa kwa kufadhili ugaidi kwa laki 3 na kufisadi laki 3, jumla laki 6??
 
Ni aibu Sana serikali kupeleka kesi ya LAKI SITA kwenye Mahakama ya mafisadi.
 
Back
Top Bottom