Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,710
- 93,448
GoodKorona
GoodKorona
Mbona kama unamtishia bana.kwani hukusikia Ile hearsay.Ondoa upumbavu wako hapa, mods pigeni ban hii takataka, ikiwezekana ukamatwe mara moja utueleze una ushahidi gani na kwanini unaendelea kuzua taharuki kwenye jambo ambalo rais alishalitolea ufafanuzi.
Hatujafikia hiyo haliOndoa upumbavu wako hapa, mods pigeni ban hii takataka, ikiwezekana ukamatwe mara moja utueleze una ushahidi gani na kwanini unaendelea kuzua taharuki kwenye jambo ambalo rais alishalitolea ufafanuzi.
Kigogo gani unaemsemea kua haushambulii uwinfozi Wa sasa.Mbona kama unamtishia bana.kwani hukusikia Ile hearsay.
Mzee wakati amekatalia chato wakamsema mtandaoni kuwa mbona hauonekani ikulu ndo walikuwa wanamuita.
Watu walijiona nchi ni Yao huyu akaomba uwaziri mkuu kuwa ndio unaomfaa mwingine akaomba uwaziri wa fedha kuwa yeye ndiye afaaye kuuongoza fedha zetu.
Saivi kigogo hashambulii uongozi ulioko madarakani amehamia mpaka kwa wasanii.
Unajua ni kwa Nini mlinzi wake mmoja alifariki lakini wa jpm.
Hakuna tatizo kuwa nayo kabisa, MUNGU kafanya yake sisi ni nani tupinge?Write your reply...lakini ki ukweli, suala la Magufuli kuwa na pacemaker nililijua toka hajawa rais mwaka - 2015, hata Yericko Nyerere alikuja na uzi mwaka huo hapa jf kulielezea, am
Ulitaka nani auwawe?Kila upande na sehemu mbalimbali watu wanaendelea kuamini JPM hakufa kifo cha kawaida!
Binafsi naisihi Serikali iunde jopo la wataalamu wa afya wachunguze kifo cha huyo bwana Hayati Magufuli.
Kuiacha hiyo dhahania iendelee kuishi ndani ya mioyo ya watu ni sawa na kulea bomu ndani ya nyasi zenye ute ute wa petroli.
Ni muda mwafaka sasa Serikali ichunguze kifo cha JPM na itoke matokeo wazi.
Huko vijijini, hata mtu akifariki kwa HIV, wajinga huwa wanaenda kupiga ramli kuwa marehemu karogwa. Na mchawi hupatikana.Kila upande na sehemu mbalimbali watu wanaendelea kuamini JPM hakufa kifo cha kawaida!
Binafsi naisihi Serikali iunde jopo la wataalamu wa afya wachunguze kifo cha huyo bwana Hayati Magufuli.
Kuiacha hiyo dhahania iendelee kuishi ndani ya mioyo ya watu ni sawa na kulea bomu ndani ya nyasi zenye ute ute wa petroli.
Ni muda mwafaka sasa Serikali ichunguze kifo cha JPM na itoke matokeo wazi.