Napost Kama nilivyo tumiwa
"Ningekuwa na mtu anayefanya wizara ya mambo ya ndani ningemuuliza anipe uhalali wa mambo yanayofanywa na ubalozi wa TZ ndani ya south Africa tunaombwa kulipia R1000 kwa passport ya dharura ambayo ni sawa na Shilling 140,000 ambayo zamani ilikuwa R 300 mpaka kufikia...
Naomba Tuweke kumbukumbu sawa kidogo...... Picha hii ni ilipigwa miaka ya 90 kipindi Dr. Slaa anahamia Chadema akitokea CCM, Na huyo Mwenye Kaunda suti ndiye alikuwa mbunge wa kwanza Na pekee kupitia chadema Dr. Aman Walid Kabourou jimbo la Kigoma Mjini, ilikuwa ziara ya kwanza Kwa Dr. Slaa...
Unapo switch wifi on zitatokea available wifi hotspot Kwa Eneo ulipo then Kama zitakuwa hazina security uta connect bila tatizo, ila Kama zina security unahitaji kuwa Na password, Kama bado unapata tatizo ni pm namba yako nitakupigia nikupe maelekezo zaidi
Kama una Tatizo Lolote Kuhusu iDevices (iPhone, iPad & iPod Touch) Kama UNLOCK, JAILBREAKING & any APP installation Free & Paid ... Niulize nitakujibu BUREEE.
JUST CALL ME AN iDEVICES GURU.
iTycoon 4 iDevices
Kuna Siri gani nyuma ya Pazia mwezi huu Kwa huduma ya TTCL upande wa DATA ( internet ) kuwa mbaya haijapata kutokea at the same time watu wakipita maofisini kwetu Na kutushawishi tuhamie SMILE?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.