Recent content by Donpela

  1. Donpela

    Mwenzenu nimetoa penzi kwa shemeji yangu bila kutongozwa, imeniuma sana

    ushaliwa..jiandae kuliwa tena ukiitwa pombe za bure
  2. Donpela

    Sijui Ingekuwa wewe ungefanyaje?

    ma parody account nyingi..unakuta wanasahau ku log out wanakurupuka kujijibu..especially kama huyu anaonekana hana kazi kama hapo juu mdau alivyomuuliza
  3. Donpela

    Ex wangu analalamika ha-enjoy sex na mume wake

    kwanza inaelekea uliachwa ulikuwa huna michongo..''hapo kwenye sex in the office in the car sijui ni UONGO..you type smell look like ulikuwa huna vyote hivyo zaid ya makende yako... nakusihi tafuta hela acha ndoa za watu na shobo za wake za watu TF una namba yake kwanza?
  4. Donpela

    Hapa piga ua, talaka yangu utatoa tu...

    cha msingi angalia contacts zako wewe..sio messages zako....una namba za fundi bomba mama muuza vitumbua muuza mihogo mangi boda boda unategeema uki post something wa react vipi..levels mamaa....au uwe na namba mbili moja official moja social...
  5. Donpela

    Jamaa nimemsamehe kwa ukweli wake mchungu. Mke wangu simuelewi

    pole sana mkuu... ukishajua ukweli itasaidia nini sasa..maana naona hiyo ni kama part 2 ya sinema aliyokuchezea awali mpaka akaondoka na kurudi bila taarifa... Game is simple, take it from me...amua kusuka au kunyoa....kama mnaishi nyumba moja jitahidi msi share kitanda au msipige game...
  6. Donpela

    Nimemuacha lakini vijembe haviishi

    kwa uandishi wake unadhani ana kifua hicho... utoto squad mkuu we potezea, save the energy
  7. Donpela

    Huyu ndiye mume wangu

    yani kwenye nguo kufua kupasi na kupangilia vitu we are similar...ila vyombo kwakwel hapana,hapo anisaidie yeye
  8. Donpela

    Huyu ndiye mume wangu

    binafsi napenda kufua nguo zangui mwenyewe, na hili mwenzangu anajua ni kama kumsaidia,ila in general i like washing my own clothes, ...na daima hii imeungana na kupenda klupangilia vitu...
  9. Donpela

    Ni muda gani Barua ya Kuposa hujibiwa..?

    muda ni kihere here cha mwanamke kutaka kuolewa.... ata push kwao mapema tuuu..ujibiwe chap
  10. Donpela

    Nashindwa kuchukuwa maamuzi sahihi ushauri wenu wadau

    mkuu inaonesha hujui maana halisi ya ndoa....rudi darasani
  11. Donpela

    Jinsi unavyopata mikosi na laana bila kujijua

    mkuu time is money..uki ignore hiyo factor be ready to pay the price if someone takes their time to favor your needs.
  12. Donpela

    Kwanini watoto wengi wa kiume siku hizi wanaitwa Junior?

    junior ni jina la kifupi kwa mtoto mwenye jina kama baba yake.. hawezi baba akaitwa john mtot akaitwa john afu wanafamilia wakarefer kama john john ,wakiita wanaitwa kama junior afu junia hutumika na family members at large, akiwa maisha ya nje akikuwa wengi wanatumia jina lake la john, ila...
  13. Donpela

    Jinsi unavyopata mikosi na laana bila kujijua

    yani mkuu iwe fundisho..binafsi nanunua material mwenyewe..fundi analipwa labour charge tu...
  14. Donpela

    Mwalimu aliyetekwa afariki kwa kunyweshwa sumu

    dah..very sad..rip mwalimu
  15. Donpela

    Wauza smartphone tukutane hapa

    nahitaji smartphone nipo mbeya.. budget 100k
Back
Top Bottom