Nimemuacha lakini vijembe haviishi

Nimemuacha lakini vijembe haviishi

Umempiga chini halafu bado unaangalia status zake inamaana bado una no yake mkuu ww ndo umepigwa chini
 
hivi kwa mwanaume unaejielewa,unaanzaje kutoka na mwanamke wa kufanya kazi za saloon?

Nyoooooooooo, kuna saluni moja Dom inaitwa 5 star ina wanawake Wakaliiiii wana mikono milaini sana kama ya mtoto wa miaka 8
 
Ukimkalia kimya na kumuacha aendelee na vijembe vyake hautopungukiwa na chochote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom