Nimeangalia mabango ya wafanyakaxi nimengundua vitu viwili, mosi waandaa mabango walipewa mwongozo na wakuu wa vyama vyao ili kutoonekana wachochez kwa kusema yajazayo maisha yao ya utumishi, pili ni hali iliyojengeka sana kwa wtz wore kuwa kusujudu kwa mkuu hya kama unaumia...maono...
Yaani nimewashangaa kweli cjui walipewa Muungozo na wakuu wa vyama vyao ili wasimkwaze mkuu wa Maya maana kwa sasa hata kueleza kero tu ni uchochezi...
Kumbe ulikuwa unaamini katika dini na si Mungu, jitazame ulivyo halafu fumba macho yako kwa muda, ukifumbua tafakari utatambua ukuu was Mungu na so dini
Elimu bure ni jeneza la Elimu wa walalahoi wa tz, watoto wa watunga Sera za Elimu ya masikini sisi wanasoma zao ktk shule bora nakujivunia uhalali wa kula kodi zetu bdae
Nakubaliana nawe, lkn tujiulize, hawa wanaowekeza hizo pesa na kupata elimu bora wanayoitarajia, wanalalamika? Wanajutia ada,zao?
lakini twende mbele na kujiuliza zaidi, je? Uwekezaji wetu unaendana na mavuno yetu au?, baada ya hapo tujipime..mazngira, wawezeshaji na jamii inawekeza kias gan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.