Recent content by Donne

  1. D

    NMB na CRDB

    Watanzania bwana hamna hata jipya! hivi mimileo nataka kutoka kwenye ajira nianze kuwa mkulima hata huko kyela wewe unataka kuajiriwa, Tena uwe banker acha upuuzi huo umepitwa na wakati.kuwa mjasilia mali kaka
  2. D

    mwanaume kulala kwa mwanamke

    Ukitaka kumuua nyani usimtazme usoni, utamuonea huruma bure we kama kakaupenda kura bata
  3. D

    mwanaume kulala kwa mwanamke

    usihangaike mi nipo kama kawa kulala kwako mpaka asubuhi... usifukuze mana nitakuganda kama ruba!@ gfsonwin
  4. D

    mwanaume kulala kwa mwanamke

    ni mapenzi bwana kama ulishamzoesha hivyo endelea kumlea mwenzio
  5. D

    FASTJET has taken over FLY 540 shares!

    Nashangaaa!!! Tanzania yetu hii masikhala mengi. sera ya Nchi juu ya wawekezaji ni kwamaba ''MJIVUNIE KUVUNA, BAADA YA MIAKA MITANO WE BADIRI JINA LA KAMPUNI ILI USILIPE KODI, HALAFU MI NIPE ml. 500 NIMALIZIE GHOROFA YANGU PALE MBEZI NITAWALINDA!!''. Hatuna jipya wa bongo.
  6. D

    Bujibuji akutwa Amelala

    ameyaweka maisha yake rehani, kwani huo mkopo unamnyima raha hata ya mamsap.
Back
Top Bottom