Mkuu Bujibuji hili lilikuwa angalizo na wala siyo kumaanisha moja kwamoja ila sikujua kama kuna kaintano releshenishipu na gfsonwin ila mbona ni muelewa atamaliza tatizo lako wasiwasi ondoa huyo nijembe mimi bila ya huyo undhani mtoto nivea angenidondokea??
Eheee eheeeee! gfsonwin sasa hapo unamnyanyua au ndo unamdidimiza mazima!!Sikuamini kama na wewe huna huruma kama taleban!! Bujibuji sasa kumbe na godown lako lilisha pigiwa hesabu!!kaa mkao mpya huu umepotea njia!!sasa mie lofa nimpeleke wapi? manake hata hela ya unyunyu nijitoe janaba huna wakazi gani mie?? KakaKiiza mie akhu! labda aniambie kama atauza lile godown lake na mm nimshkie pesa ili nimsaidie anyanyuke upya
Mbona mwaka huu watajitupa baharini mimi na nyonga wangu nivea sitaki bighudha na mtu!! TANMO nimeisha mwambia na mwenzake Erickb52 kazi imebaki kwa mtu chake ananengeneka sijui ataishia wapi maana moyo wake umemuiva karibu unapasuka masikini Preta hata astuki mpaka asikie puuu mtu kadondoka!!Ila namshukuru sana gfsonwin big up kwakazi kubwa ulinifanyia!!haahahahhahah KakaKiiza waambie waambie
Heheheheee Bujibuji bhana