Recent content by donmzushi

  1. D

    Airtel Internet on Android

    Nimepata solution: hakuna haja ya kuactivate Wi-Fi; unaenda Settings > Wireless & networks > Mobile networks and APN > Access point names > Menu > New APN > weka jina airtel na APN airtel basi unanunua bundle unasonga.
  2. D

    Muswada Katiba Mpya, Hoja ya Muungano moto Zanzibar!

    Zinedine na mammamia nimekubali hoja zenu sana,,mi naona kama kuna haja ya kutengana na zanzibar ili wajue maisha yakoje,,wanatubabaisha bure tuu ukiacha all the favors we do for zanzibar for the sake of nationality,,LET THEM GO,THEIR Part in the story is over. . .
  3. D

    Tanesco wanaendesha mitambo ya IPTL kwa tsh bilioni 15 kwa siku

    majenereta ya nini tutengeneze umeme wa upepo na solar tuu tuachane na mafuta and all energy ambazo tunanunua upepo ni bure na jua ni bure jamani na hivyo vyote tumejaaliwa sana haopa Tanzania.
  4. D

    Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

    bora wajianike tuu mafisadi hao; ufisadi hadi ndani ya chama?
  5. D

    hatimaye KKKT wabadili jina!

    forwarded to babu
  6. D

    Malipo ya Mamilioni Parastatal Pensions Fund (Invoices): Rewarding and Defending Corruption

    Doh hela zetu nssf zinataka kuliwa na mafisadi kwa njama ya umeme kiwira sasa na ppf tena? Tunakwenda wapi jamani?
  7. D

    Vijana CCM wamgeuka Kikwete!

    Hawana jipya wanajikosha tuu hawa wavuruga amani. . .
Back
Top Bottom