Mimi kuna moja nilikutana nayo maeneo ya kb bar & night club Tegeta, nikapiga nayo story za kawaida tu.
Baadae nikaiaga kwamba mimi naondoka, ikaniuliza nakaa wapi, nikaiambia naishi Mabwe, ikasema bs tuondoke wote yenyewe inakaa mitaa ya bunju.
Tulivofika mtaani kwake akapiga simu kwa dada yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.