Kwani wewe unafikiri pasipo kufanya hivyo mbele ya vyombo vya habari ni mwananchi gani atapata habari? Unafikiri chadema kung'ang'ania bunge liendelee kuonyeshwa live dhumuni lao ni nini kama si kutaka waonekane kwa wananchi jinsi wanavyo fanya migomo.Pole sanaa ndugu yangu,umasikin wa mawazo...
Mtu una apointment nae,anakupiga mzinga wa kufa mtu,kuna mmoja alishawahi niambia nimtumie elfu 50 kwanza kwenye M-Pesa kwanza kabla hata ya kuonana... nilijua huyu mpigaji mbona nilibadioi njia anngani?
Kwani nani aliye kwambia waliopo chadema ndio wasafi? We ni mgeni wa siasa za Afrika eti? Kwani ulimsikia yule mgombea wamarekani juzi alivyokuwa anaongelea kuhusu viongozi wa Africa
Sasa hivi Magufuli amekuwa gumzo nchi nyingi sana barani Africa na tena sio south africa tu hata uganda kwasa kila mtu anamuongelea Magufuli,nimelishuhudia hilo wakiongea kwa vinywa vyao..
Usikate tamaa ndio maisha bro,hakuna aliye taajirika bila kujituma...chamsingi ni uvumilivu na ubunifu mafanikio utayaona.Bahati nzuri Mungu wetu ni mwema anawapa wale wenye nia ya dhati ya kutafuta.hivyo fanya kwa upande wako na yeye atakuongezea.
Wewe ulitaka uletewe pesa nyumbani bro....piga kazi upate helea.Asikudanganye mtu hakuna mafanikio ya papo kwa papo laZima utumike kwanza ili ujue uchungu wake ndio uanze ku gain mafanikio.Ukubali ukatae magufuli ndio habari ya mjini barani Africa.
Mwita wewe ni mbishi basi kila mtu akae na anavyo amini....mtazidi kupokea mafisadi wengi maana huku maji yakiwafika shingoni hawatakuwa na namna tena bali ni kwenda chadema na kusafishwa.
Unaambiwa hii ni serikali ya magufuli,kwanza yeye mwenyewe alishatangaza vita dhidi ya mafisadi,pili namshukuru sana Mh.Zito aliwaweka wazi wapinzani wengine kwamba yaliyopita tuyaache sasa tujadili mambo mapya na hii serikali mpya.Tatizo lenu mnaweka imani kwa mtu na ndio maana hata accheze...
Uzuri wa mh.Magufuli majipu anayatumbua mwenyewe,haitaji msaada kwa mtu yeyote na hii serikali ya sasa inaendesha mambo yake kwa uwazi...hivyo wapinzani msitokwe na Povu nendeni dodoma mkayaweke mambo sawa.
Huna jipya kumbe kazi kutuputozea mda... Kabla ya makala kutolewa kuna typying error nyingi sana zinarekebishwa kabla ya gazeti kupelekwa sokoni,hivyo hayo makosa yasikutoe povu mdomoni kinaja.Habari ni kwamba Lissu sio mzalendo...Pongezi sana kwa Dr.slaa alikataa kubadili uwamuzi wake.Upo hapo?
Hakuna kitakachokuwa moto maana hao wote ni walewale,wanachi tumeamka sana na tunaofuatilia mahojiano hayo ni watu tunaojielewa,waondoe kwanza choo walichokihamishia chumbani mwao ndio tutawaelewa.
kubishana na wewe ni sawa na kupoteza mda,lissu ni msomi ndio,lkn kawa Muongo na fani yake kaidhalilisha sana.Kama ulibahatika kuona zile kampeni za akina lissu na wenzake walipozunguka kumdani lowasa kuwa fisani na kutoa list iliyoitwa "the List of shem" ambapo Lowassa pia alijumuisha humo basi...
Hauwezi kufika kwa lipi....tukisema vivutio ni kweli kuna mlima kilimaanjaro na migodi mikubwa ya amadini lkn hivyo vyote ni mali ya serikali... Kama boda ya masaa 24 hata mbeya ipo na ni mbili tu hapa Tanzania kuna ya mbeya na namanga arusha. Kwa mzunguko wa kibiasha mbeya ipo juu sasa sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.