Huyu jamaa anatakiwa kurudi shule. Hawezi kunadika sentensi ika eleweka au sijui mchaga huyu kiswahili hajui au shule tu inamsumbua.
Nicholas unatu aibisha wakristo kwa ujinga wa udini wako, unawa aibisha wachaga kwa ukabila wako na unai aibisha Chadema kwa kuwa na mwanachama kilaza kama wewe
Mrisho Gambo anaandaliwa na Ridhwan Kikwete kuchukua nafasi ya Martin Shigela ukatibu mkuu wa UVCCM. Zengwe lishatengenezwa Riz & Coy hawamtaki Shigela kwa kuwa hamuungi mkono Membe kuelekea 2015, na nafasi ya Katibu mkuu UVCCM ni nyeti sana.
Butiku ni frustrated individual fulani hivi, bado ana hasira za kupigwa chini na Ben Mkapa alipotaka Uenyekiti wa bodi wa shirka nyeti. Since then amekuwa anti CCM in the name of Mwalimu Nyerere foundation.
Hana jeuri ya kujiuzulu and I can bet on that, kuacha posho ya 400,000 kwa siku...
Siku hizi gia ya kupata umaarufu bungeni ni kutukana, kuzusha uongo, na kugoma kufuta kauli. kinachofuata hapo ni kufukuzwa/kuzuiwa kuhudhuria vikao, magazeti yana pick it up, ushakuwa maarufu!
Unadai Rose Kamili kamsafisha Dr Slaa, lakini wewe kupitia tundiko lako hili umempaka matope Dr Slaa.
Wakati Dr Slaa yupo katika jopo la mapokezi ya Baba Mtakatifu Pope John Paul tayari ana mahusiano ya ndoa na watoto!.
Kwa taarifa yako hili likija julikana huko Vatican ni kashfa kubwa...
Jamani hii habari ya Kigamboni kweli na ni serious kuliko mnavyodhani. Mradi utaanzia feri navy yote, vijibweni, huko beach yote mpaka kibugumo. Watakaopona ni wale wa mradi wa viwanja 20000, Mzee Jumbe, Shule, Hospitali na vituo vya jamii basi. Wengine wote watalipwa fidia na kuhamishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.