Tukumbushane kauli mbalimbali za Wanamichezo

"Tumewasiliana na Keneth Asamoah na kwa kiasi kikubwa tumefikia makubaliano kilichobaki ni kumtuma kiongozi wetu kwenda Accra Ghana kumalizana na Club yake ya Asante Kotoko,Asante Kotoko ndo team inayommiliki mchezaji huyu na siyo Jagodina Fc ya Serbia"....Mheshimiwa Ismael Madeni ya Maha'Rage wakati akiupotosha Uma katika habari za usajili kabla ya kuanza kwa msimu wa Ligi uliomalizika.
 
"Tamasha hilo litakuwa kubwa ambalo halijapata kutokea na tutalitumia kutangaza baadhi ya wachezaji wetu wapya tuliowasajili akiwemo Nizar Khalfani ambaye tumevunja mkataba wake na team yake ya Marekani,hivyo napenda kuwaomba wapenzi wote wa Simba Sports Club kuja kwa wingi siku hiyo kumuona Nizar pamoja na wachezaji wengine wapya ambao tutawatangaza siku hiyo"
Mheshimiwa Ismael Madeni ya Maha'Rage kama kawaida yake akiupotosha Uma mapema wakati pazia la usajili wa wachezaji msimu huu lilipokuwa likifunguliwa.
 
"Tumewasiliana na Keneth Asamoah na kwa kiasi kikubwa tumefikia makubaliano kilichobaki ni kumtuma kiongozi wetu kwenda Accra Ghana kumalizana na Club yake ya Asante Kotoko,Asante Kotoko ndo team inayommiliki mchezaji huyu na siyo Jagodina Fc ya Serbia"....Mheshimiwa Ismael Madeni ya Maha'Rage wakati akiupotosha Uma katika habari za usajili kabla ya kuanza kwa msimu wa Ligi uliomalizika.


Rage ni mwanachama wa CCM asa unategemea atakuwa mkweli?
 
Waandishi mmeanza kutuudhi, kama ni umasikini ni wetu, kama ni utajiri ni wetu kama ni yanga ni yetu, kuna mwandishi Shaffih Dauda anatuudhi, anamtumia imeli na kumpigia simu Maximo asije yanga eti yanga hawana hela-Mzee Akilimali.
 
scholes is the toughest opponent to face! - zinedine zidane

am not the best but paul scholes he is. - edgar davids

its not easy to win the title with young players - alan hansen (bbc football analyst) in his famous speech of 1995 discouraged Ferguson's squad including scholes,neville's brothers,nick butt
 
Fergie we havin' a partie! washabiki wa manchester city baada ya kunyakua ubingwa wa ligi kuu ya England...
 
I go to jail for a crime everybody know I did not commit, get shot 5 times, and I'm gettin' rapped in jail. Whoompty, wompty, they just sayin' anything to assassinate my character. What that showed me? Remember, remember this lack of a conscience, when I come out. Remember this lack of mercy, when I come out. Remember this lack of compassion, when I come out.-2 pac amar Shakur
 
"Natoa siku 7 kwa chombo hichi cha habari kilichotoa habari ya mchezaji wetu Emanuel Okwi ku'sign Yanga kutoa habari ya kukanusha taarifa ile katika ukurasa wa mbele "front page ya mbele kabisa" tofauti na hapo tutawachukulia hatua kali za kisheria,tumeshawasiliana na Mwanasheria wetu na tunajiandaa kwa hilo,Viongozi,wachezaji,wanachama na wapenzi wa Simba wameumizwa sana na habari hii,wengine wameshindwa hata kufanya kazi ksbb ya habari hii ya kizushi,kwa hakika tutachukua hatua"....Godfrey Nyange Kaburi alipokuwa akiweweseka mbele Press kufuatia chombo kimoja cha habari kutoa taarifa za Okwi ku'sign Yanga.
 
I've kept really quiet but I'll tell you something, he went down in my estimations when he said that. We have not resorted to that. You can tell him now, we're still fighting for this title and he's got to go to Middlesbrough and get something.

"And I'll tell you, honestly, I will love it if we beat them. Love it.
Kevin Keegan on Alex Furgoson 1995/96 season
 
"Talent win the game but teamwork win the championship"
Michel Jordan after the Bulls where swept yet again by Pistons.
 
"Nimekuambia fedha haipo, nimeshasema fedha haipo....... H. A. I. P. O"
Ndolanga akimjibu mwandishi wa radio one.
 
"Ng'ombe akienda machinjioni lazima achinjwe kisha ndipo daktari atapima kama nyama inafaa kuliwa au la, kwa hiyo timu itakayokutana nasi lazima tuifunge"
Julio
 
Back
Top Bottom