Recent content by Doncho kun

  1. Doncho kun

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Je DAWASA hamna utaratibu wa kumvumilia mteja? kwa mfano kama mteja anadaiwa na kaonyeha juhudi za kulipa angalau asilimia 75 ya bill hadi kufikia usomaji mwingine. Apa kimara kuna watu wa DAWASA kila ikifika wakati wa usomaji wakikuta ata unadaiwa elfu 20 kati ya elfu 80 ulizotakiwa kulipa...
  2. Doncho kun

    Maendeleo katika mizania Tanzania

    Maendeleo, Maendeleo! Kumekuwa na maoni mengi juu ya "maendeleo" bila kutajwa hasa ni wap au nini kinazunguzwa, pia wengine wakizungumzia maendeleo kwa upande mmoja tu unaoweza kuonekana dhahiri kw macho kama kujengwa kwa barabara mijini na vijijini, kujenga hospitali na vituo vya afya, kujenga...
  3. Doncho kun

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Ata mimi kwa ufatiliaji wangu mdogo uliyoandika ni sahihi
  4. Doncho kun

    Nini Hatma ya Ukraine baada ya Mzozo na Urusi?

    Vip uonavyo wewe hawa watampunguzia maumivu aliyoyapata baada ya mzozo huu?
  5. Doncho kun

    Nini Hatma ya Ukraine baada ya Mzozo na Urusi?

    Sasa ni siku zaidi ya 50 ya kinachoitwa operation ya kijeshi inayofanywa na shirikisho la Urusi ambapo upande unaoshambuliwa (Ukraine) umejaribu kila namna kuzuia mashambulizi makali ikiwa ni pamoja na kuomba mataifa ya Magharibi kuiwekea vikwazo Urusi, kuharibu zana za kivita za Urusi na...
  6. Doncho kun

    Naomba kujuzwa kama serikali ya kijiji ina mamlaka kisheria kugawa kiwanja cha mtu bila idhini yake

    Ndgu yangu apo nenda mahakamani...lakni nakushauri kabla ya yoye tafuta mwanasheria akupe mwongozo...kwa nionavyo mimi uongozi wa kijiji hauna mamlaka hiyo ukizingatia hadi kuna makaburi n.k
  7. Doncho kun

    Naomba kujuzwa kama serikali ya kijiji ina mamlaka kisheria kugawa kiwanja cha mtu bila idhini yake

    Nimeisoma nadhani muhusika achukue hatua ya kwenda kwenye vyombo vya sheria
  8. Doncho kun

    Tax Management Officer II vs Custom Officer II

    Alafu scale ya mshahara ni moja..labda utifauti wa marupurupu, lakini kwenye huu mjadala nimegundua watanzania wengi tunapenda kupiga madili[emoji1787] kwa sababu mifano iyo ya watu wa custom waliopelekwa mahakamani ndo ushahidi kutetea maslahi ni mazuri kwa iyo customs[emoji2957]
  9. Doncho kun

    Tax Management Officer II vs Custom Officer II

    Custom mitihani yake sio migumu....ni ishu tu za imports na exports
Back
Top Bottom