Recent content by donbeny

  1. donbeny

    Dark days 17/03/20

    code ipo sawa ,,,,,,,,,,,
  2. donbeny

    Nimekubali bora nigharamikie tu lakini kamwe sitakuja kununua malaya

    Mlaya wana Grade mkuu-low to high grade
  3. donbeny

    Nimekubali bora nigharamikie tu lakini kamwe sitakuja kununua malaya

    tofauti ni usafi na uchafu ,ila wote wanajiuza na hapa hatujaangalia magonjwa ya zinaa,mbona hata wanawake wasafi wanaojiheshimu wanapata magonjwa ya zinaa wakati fulani?
  4. donbeny

    Nimekubali bora nigharamikie tu lakini kamwe sitakuja kununua malaya

    Kila mwanamke ni malaya ,tofauti ni soko la kuuza na kununua,watu wangapi wanakuwa na michepuko ? kuna tofauti gani hapa ? mtu ukipata mzigo wako kula ,usianze kuchunguza
  5. donbeny

    Nakumbusha: Kutembea kwa miguu ndio zoezi bora na salama, kukimbia ni kujizeesha kwa hiyari

    Kwanza anza kupunguza uzito kama una kilo nyingi-(overweight) kwa kupunguza vyakula vya wanga na sukari ,soda .Baada ya hapo ,anza mazoezi ya kutembea at least km 2 kila siku kwa miezi sita ,ndio unaweza kuanza zoezi la kukimbia ,kuogelea nk
  6. donbeny

    Nikiwa kwenye maandalizi ya tendo, manii zinatoka na hamu ya kuendelea na tendo inakata kabisa

    Premature enjaculation ,acha kujichua na pia tuliza hisia haya mambo hayataki kuyapania
  7. donbeny

    KERO Malalamiko yangu dhidi ya NMB bank

    huwa wnarudisha hela baada ya saa 48- hadi 72
  8. donbeny

    Stars imemaliza mwendo taifa limepoteza; Morocco ni Football Brain tugange yajayo, Asanteni Watanzania kwa Sapoti kwa timu yenu

    Uwezo wetu ulikuwa mdogo ,hatuna ubunifu .Morocco wana timu yenye uwezo mkubwa
  9. donbeny

    Yanga yapeleka utetezi FIFA katika skendo ya kujiingiza katika siasa

    Bila evidence hii ni chai ya asubuhi ,
  10. donbeny

    Napata maumivu upande wa moyo, hizi ni dalili za ugonjwa gani?

    I suspect Angina pectoris -supply ya blood kwenye moyo ina hitilafu nenda ukatibiwe JKCI au hospitali yoyote kubwa
  11. donbeny

    Pombe: Sumu inayoua zaidi kuliko vita na gonjwa lolote, lakini tunaiita burudani

    Kweli mkuu tatizo la pombe ni kubwa sana kwa sasa ,ila visungura navyo viangaliwe kwa upya ,vimekuwa chai ya asubuhi kwa bodaboda,mafundi ujenzi ,mafundi wa magari etc ,figo na ini zinaharibika kwa kasi sanaaa
Back
Top Bottom