tofauti ni usafi na uchafu ,ila wote wanajiuza na hapa hatujaangalia magonjwa ya zinaa,mbona hata wanawake wasafi wanaojiheshimu wanapata magonjwa ya zinaa wakati fulani?
Kila mwanamke ni malaya ,tofauti ni soko la kuuza na kununua,watu wangapi wanakuwa na michepuko ? kuna tofauti gani hapa ? mtu ukipata mzigo wako kula ,usianze kuchunguza
Kwanza anza kupunguza uzito kama una kilo nyingi-(overweight) kwa kupunguza vyakula vya wanga na sukari ,soda .Baada ya hapo ,anza mazoezi ya kutembea at least km 2 kila siku kwa miezi sita ,ndio unaweza kuanza zoezi la kukimbia ,kuogelea nk
Kweli mkuu tatizo la pombe ni kubwa sana kwa sasa ,ila visungura navyo viangaliwe kwa upya ,vimekuwa chai ya asubuhi kwa bodaboda,mafundi ujenzi ,mafundi wa magari etc ,figo na ini zinaharibika kwa kasi sanaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.