Recent content by Donasian kabengo

  1. D

    Mbowe kufungwa ni sahihi

    Nahisiwewe niwenda wazimu nafuu unge zaliwa mbwa.shwaini
  2. D

    Sakata la Mbowe kuwa na tuhuma za ugaidi isiwe sababu ya kutaka Watanzania tuamini anaonewa. Tuache mahakama iamue.

    Utambue kuwa kuna watu wengi magerezani wame fungwa kwa kubambikwa kesi. Mfano mh. Sugu alifungwa baadae makama ya rufaa ikamuona hakuwa n hatia (wakati huo alisha maliza kifungo) Mbowe naviongozi wa Chadema walipigwa faini ya ml 350 au kifungo mahakama ya rufaa iliwaona hawana hatia.
  3. D

    Hili hapana, Hayati Magufuli anasingiziwa

    Umeandika nini sasa? Sipendi upuuzi kama huu niki kukamata nita kupiga njiti zisizo na idadi. Umenipotezea muda kumbe nasoma upuuzi. Shwaini
  4. D

    Mwanajeshi mstaafu wa Ujerumani na nia mbaya dhidi ya Tanzania

    Mbona una jianyaga?au ume banwa na gogo?
  5. D

    Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe

    Sheria ipo kupitia kwa Dpp kwa kuto kuwa na nia ya kuendelea na kesi
  6. D

    Mzee Cleopa Msuya: Suala la Katiba Mpya haliepukiki kwani Katiba siyo Jiwe au Amri ya Mungu

    Nakumbuka ile kauli tutanunua ndege ya raisi hata kama watz watakula nyasi na kila mtu ata beba msalaba wake!
Back
Top Bottom