Utambue kuwa kuna watu wengi magerezani wame fungwa kwa kubambikwa kesi. Mfano mh. Sugu alifungwa baadae makama ya rufaa ikamuona hakuwa n hatia (wakati huo alisha maliza kifungo) Mbowe naviongozi wa Chadema walipigwa faini ya ml 350 au kifungo mahakama ya rufaa iliwaona hawana hatia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.