- Thread starter
- #21
Hata Mimi ni mwananchi nataka katiba lkn c kwa speed ya mbowe katiba ni takwa la wananchi Mimi pia ni mwananchiHoja yako imejijenga wapi. Hasahasa mkuuu au ni muemuko wa kiisia.....
Suala la katiba mpya unalichukuliaje?? Wewe kama raia wa kawaida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app