battlefield V, 4 2042, hardline zote nzuri sana sana ila Battlefield 4 premium edition ni nzur zaid intem of mission ila graphics nzuri ni Battlefield V japo zote hizo COD MWII na CODMWIII currently ndio game bora zaid ya action nmecheza zote hizoo sahivi nacheza COD MWIII niko kweny mission ya...
fungua hilo game then likishafanya kama unavyosema nenda kweny disc C>document>eurotruck simulator 2>profile> then click hap alafu exit then utaona game limefunguka
Marekani ni "moja ya nchi" ambayo ina jeshi la kisasa na kila kitu kuifnya kua nchi yenye majeshi na vyombo vya ulinzi bora zaid duniani kapigana vita vingi tangu kuasisiwa kwake kuanzia vita vya wenyewe kwa wenyewe, iraq, Afghanstan, Syria, Vietinam na sehem nying san.
Kwenye modernwarfare...
Kwamfano unataka kununua fridge lamtumba ni kitu Gani inatakiwa uzingatie Ili usije ukauziwa fridge fake!? Ni kipi kitakujulisha kwamba hili fridge ni zuri na halimwagi maji!?
Sometimes wahisani + washirika sometimes mabeberu + wanyonyaji! Mtoa mada unashindwa kuelewa kabisa dunia ya wakati huu niyauwazi na ukweli hususani katika nchi zilizoendelea ndiomaana unaona watu wanapaza sauti zao na mpaka inafikia wanaandamana! But kweny nchi nying zinazoendelea Hali kidogo...
Huyu jamaaaa ukifatilia toka wanapotoa taarifa kwamba anafanyiwa upasuaji mpka inafka point wanaitaji wataalam wa afya kutoka China na Chinese helth expecties wanaendaaa kuungana na Nk ousaaidia kupigania uhai wake taarifa za kifo chake it seem to be true tusubiri tu time will tell!
Sent using...
Well said! Jamaa umechambua vyema na umejitahidi wengi wanajua kwamba hi vta imeanza Leo na weng wakijua kwamba nivitisho tu lakin nyuma ya pazia Kuna vta kubwa sana kati ya Us na Iran!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli kabisa Mazingira yna influence kubwa kwenye Elimu lakini mbali na mazingira jitihad binafsi na kujitambua vinauwezo wakukufanya ufike mbali na kufanikiwa! Kwamfano wote tunafahamu mazingira ya shule za kata shule hizi nyingi hazina walimu wakutosha, hazina maabara na atakama ipo...
Mkuu haufahamu takwimu halisiza ukuaji wa uchumi marekani curretly! sio kama unavyodhani kwasasa Trump ni real deal na 2020! itakua nirahisi zaid ukitaka kufahamu hilo fatilia kwa ukarbu hali ya marekani before Trump (means kipindi cha Obama) na fatilia baada ya Trump kuchukua hatamu!
we jamaa nmefatilia nyuz zak nying kwanz kabsa ww n ant usa! then haukubalian na sias za us kwa dunia tatu unataman san uunited stat ishuke kiuchumi! broo naomb kidgo uchukue walau wasaa usome political strength of united state over army en stat intelligence som vzur uchumi wa united state af...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.