Jamani eeh huu sio wanja wa kushushuana!!! Ni kupeana mawazo mazuri,kuulizana,kusahiishana kwa maneno mazuri na sio kashfa!! Embu tuwen ma g8t thinker coz tanzania nzima inasoma tunacho kiandika!!! Gotta good morning y'all
kaka hapo baati ipo coz mwaka jana kuna kijana shule nilio malizia alichaguliwa PCB na alikuwa na B=c,C=c na P=d lakin alichaguliwa,,, so worry out bro
Chakufanya zuga cku 1 unafanya kazi ya kuponda mawe (kokoto), then mwambie mpenz wako akupeleke ofisin kisha ukifika unabadili nguo na kuvaa nguo za kazi nauwakika ukimruhusu arud nyumbani humkuti tena na tatizo lako litakuwa kushnei!!!
Jaman tufikirien mara 7 hiv mnasema kuhusu udin kwenye NECTA wakati katika book lat yako kuna namba ya mtainiwa na ya shule!!! Sasa unafikiri baraza la usaishaji litapata wakati wa kuchakachua matokeo eti kisa wewe ni muislam. Embu tuache tenda dhambi za kujitakia bhana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.