DIAMOND anazidi kudhihirisha kuwa anajificha nyuma ya wasanii wake baada ya kushindwa kutoka vizuri na wimbo mpya.
Skendo iliopo mezani Diamond ameiba wimbo wa msanii chipukizi wa NAMIBIA anaitwa King Tee Dee au KIng TD... alikuja Bongo kurekodi kwa kumshirikisha Diamond lakini alivyoondoka...
Eti aeleza alivyomvua wigi na kumtupia viatu nje Madale, asema anamchukia ile mbaya ch akuchekesha sasa eti amemsifia Zari.
Ubuyu wa moto moto unasema kuwa baada ya kuvuma kwa taarifa mitandaoni kuwa mama wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’ amempa...
MWANAMITINDO mwenye shepu ‘tata’ Corazon Kwamboka amechafuka mtandaoni mara baada ya kutupia picha ya nusu utupu akiwa na Mzungu anayedaiwa kuwa ni mchumba wake.
Corazon ambaye pia ni mwanasheria nchini Kenya, aliweka picha hiyo ikimuonesha akiwa kifua wazi na Mzungu huyo huku akiwa...
KWa wale vijana wenzangu wa zamani wanaweza kushangaa kidogo kama kweli kundi hili lililowahi kutamba sana miaka 35 iliyopita na vibao kibao kama vile Chiquitita, Money Money na nyingine kibao.
Habari ikufikie kuwa kundi hili lenye vichwa hatari kama vile Bjorn Ulvaeus, Benny Andersson, Agnetha...
Lejendari mwenye kiota chake ndani ya Tasnia ya Bongo Fleva, Profesa Jay amerudi kivingine. Nimekuwa nikimfuatilia kwa muda mrefu kuanzia kipindi kile cha HBC, kipindi cha Chemsha Bongo, Bongo Dar es Salaam na huu ujio wake wa sasa wa PAGAMISA akiwa na Mr T Touch ameonesha dhahiri kuwa atabaki...
JOMBA siku nyingine unapokopi HADITHI za watu kama HII uwe unawapa CREDIT zao... Maana hii ni HADITHI yangu ila unachokifanya ni kama WEWE ndiye uliyeiandika... HAYA ukimaliza kuwawekea nenda tena GOOGLE ukatafute na PLAY BOY ipo uje uwawekee... By Mwandishi wa Hii hadithi, Carlos.
Kiukweli namjua vizuri Nuruely ni bonge la mwanamuziki kinachomuangusha ni sapoti kwa mashabiki na vyombo vya habari. Ana kazi nyingi nzuri ambazo amezitoa lakini hazipewi kipaumbele sana.... Baada ya kuachana na B Band aliamua kupumzika kidogo kimuziki akaenda Mtwara kuishi na familia yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.