Wabunge wawe watu wenye kiu ya kulete maendeleo ya wananchi wao kwa hiyo wajitolee na kuyaishi maneno yao kuwa wananchi wanawapenda na kuishi nao. Kwa sasa kila kiongozi ana walinzi sijui ni kwa nini ingawa wanasema wamechaguliwa kwa kishindo na wananchi wanawapenda?
Je wana akili ya kulete maendeleo? Angalia mazingira yao wanayoishi vijijini, bahati mbaya nilipita Usukumani mwaka 1970 Dec nilipita karibu mkoa wote mpaka mkoa wa Musoma nikaishia Isbania na kurudi APRIL 1971. Maendeleo yalikua zero
Sisi weusi popote duniani tunadharauliwa si waarabu si wazungu si wahindi si wachina etc ila sisi tunaendelea kuingia dini zao na tumesahau asili yetu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.