Recent content by DON

  1. D

    JamiiForums Tanzania Mnaonaje tubadili katiba yetu ili Rais Samia aendelee kuongoza Taifa letu baada ya kumaliza muhula wake 2030?

    Kila kitu kina mwisho, katiba ifuatwe.
  2. D

    JamiiForums Tanzania Tuendeleeni tu kulifanyia Mzaha hili Suala la Timu zinazomilikiwa na Mawaziri Waandamizi kuwapa Kiholela Uraia Wachezaji wao

    Hizo idara ziko mifukoni mwa waheshimiwa hawawezi kufanya lolote
  3. D

    JamiiForums Tanzania Ufaulu wa elimu ya Tanzania unanipa mashaka sana kila kukicha

    Hakuna elimu ni mauzauza tu, nani kiongozi anayesomesha mwanae shule za serikali? Siasa imeua elimu na nobody cares tutaendelea kubaki nyuma.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Majasusi wa Tanzania fungueni macho. Teueni watu wenye uwezo sio kwa kujuana

    Tanzania inatawaliwa na wanasiasa ambao kichwani ni zero, usitegemee watoe mawazo yenye kulete maendeleo. Hakuna mzalendo wote ni wachumia tumbo. Mfano nani yuko tayari kuishi bila marupurupu tunayowapa watumie tu mshahara mnono tunaowalipa hizo posho zilete maendeleo, naamanisha posho zote za...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Lissu sio mtu wa mchezo mchezo, ndani ya miezi miwili kafanikisha kumpatia Sativa vibali vya kuishi Ubelgiji.

    Wenye maslahi ni nani ni hao familia zao zinaishi Dubai na kwingineko?
  6. D

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Ulomi: Taarifa ya Polisi imezua maswali magumu na mabaya. Haya hapa baadhi...

    Mtiririko wa simu zake zote za mwisho ziwekwe hadharani tutapata majibu
  7. D

    JamiiForums Tanzania Waislamu Waafrika waliosoma madrasa wanaweza kuongea lugha ya kiarabu kwa ufasaha na weledi?

    Hapana Quran sio kiarabu
  8. D

    JamiiForums Tanzania Kumuona nabii milioni 1.5 nimechoka

    Serikali haiwaoni hawa matapeli kwa sababu ya hongo na kuwategemea kwenye uchaguzi. Hawa hawana tofauti na waganga wa ramli chonganishi ila wao wanapata nafasi ya kuwagombanisha watu kwa utabiri ya kuwa kila mtu ni mchawi. Hufanya jamii zikose maarifa ya kujiletea maendeleo kwa ajili ya kujazwa...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Napendekeza serikali ifunge projector madarasa yote shule za msingi badala ya kuajiri walimu, hii itasaidia kuokoa takriban trillion 3 Kwa mwaka

    Tungeanza na bunge kwanza halina maana yoyote, waalimu ndio nguzo ya taifa waliosoma wamenielewa
  10. D

    JamiiForums Tanzania Ole Sendeka: Rais Samia ni kiongozi pekee wa juu nchini Tanzania aliyeleta maendeleo makubwa kwa muda mfupi zaidi

    Ulikuwepo muda mfupi wakati wa Nyerere tufanye comparison na huu wa Samia
  11. D

    JamiiForums Tanzania The waste president ever!!!

    Imbecile and psycopath
  12. D

    JamiiForums Tanzania Sehemu ambayo ukipata mke hutokaa ujutie

    Mbona hao wengine wanaongoza kwa ukimwi shida ni nini kama wametulia
Back
Top Bottom