Tanzania inatawaliwa na wanasiasa ambao kichwani ni zero, usitegemee watoe mawazo yenye kulete maendeleo. Hakuna mzalendo wote ni wachumia tumbo. Mfano nani yuko tayari kuishi bila marupurupu tunayowapa watumie tu mshahara mnono tunaowalipa hizo posho zilete maendeleo, naamanisha posho zote za...
Serikali haiwaoni hawa matapeli kwa sababu ya hongo na kuwategemea kwenye uchaguzi. Hawa hawana tofauti na waganga wa ramli chonganishi ila wao wanapata nafasi ya kuwagombanisha watu kwa utabiri ya kuwa kila mtu ni mchawi. Hufanya jamii zikose maarifa ya kujiletea maendeleo kwa ajili ya kujazwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.