Nimependa unavyo react "madongo" unayotupiwa, hakika wewe ni moja kati ya wauzaji bora niliowaona hapa JF, endelea na moyo huo huo wa ku control emotion and knowing what to reply. Ushauri wangu, kama una nia ya kuuza fasta, ondoeni hayo magoli, na weka mazingira kionekane ni kiwanja cha...
Hawa jamaa ukikopa kwa kutumia APP yao, then ukachelewa kurudisha, just one day, message za vitisho watakazokutumia, unaweza ukajikuta umeghairi kulipa kabisa ili tu uone watakufanya nini.
Siielewi hii misalaba yenye duara juu, ina signify kitu gani?
Naona ma celebrity kibao wakiivaa kuanzia Diamond Platnumz hadi Masanja Mkandamizaji
Mwenye uelewa naomba afafanue, maana sijawahi kuiona popote kama alama za Christianity au Kanisani.
Wakuu Poleni na matatizo, ajali, na vifo.
Huyu mtu anayefahamika kwa jina la Ludovick Joseph amekuwa akitajwa tajwa sana kwenye matukio ya kusikitisha.
Alitajwa wakati wa sakata la ugaidi la Rwakatare, alitajwa na Absalom Kibanda kwamba miongoni mwa waliomtesa anafanana na Ludovick.
Yote...
Wewe bibi unajidai unajua biblia wakati ni mbumbumbu, unajua why Yesu alikuja duniani? Unajua msingi mzima wa maisha ya Yesu kuanzia kuzaliwa kwake na hata kufa na kufufuka kwake?
Nenda ukasome Yohana 1 kuanzia mstari wa kwanza ndio utaelewa Yesu katika uanadamu wake ni nani na katika Uungu...
Tehe teheeeee, naona kibibi umepanic, usipanic unless utufafanulie kwa nini umekuwa mwepesi kuamini kwamba ni majini, je huamini kwamba mwenyezi Mungu anao uwezo wa kumpa mwanadamu yoyote kipaji na akaonekana anafanya mambo ambayo wengine wanayaona ni ya ajabu?
Kwa mtazamo wako unaonekana...
FaizaFoxy ni kweli unenacho, ni kama ilivyokuwa kwa yule Sheikh Sharif enzi zileeee aliyewahi kuwawehusha Waislam wakawa wanamsujudia utadhani mungu wao, lakini mwisho wa siku yale majini yalikutana na nguvu ya Yesu yakafukuzwa yote.
Nadhani huyu wampeleke kwa watumishi wa Mungu akafanyiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.