Recent content by Don 01

  1. D

    Kwa mwenye kuhitaji karanga nyekundu na nyeupe anakaribishwa

    Bei inategemea na sehem ulipo maana hapo tunaangalia swala la usafiri.
  2. D

    Kwa mwenye kuhitaji karanga nyekundu na nyeupe anakaribishwa

    Habari zenu wana jamvi, kwa wenye kuhitaji karanga kuanzia tani 4 na kuendelea wanakaribishwa saana, kwa aliye tayari naomba tuwasiliane PM. Mimi kwa sasa napatikana kaliua Tabora, popote Tanzania unaletewa baada ya makubaliano ya bei.
  3. D

    Serikali yasitisha Mnada wa kuuza Vifaa na mali za mgodi wa Buzwagi

    Tuvute subra., kilicho nyuma ya Pazia kitajulikana tu..,
  4. D

    Bila upinzani, Tanzania ingekuwa zaidi ya Japan kiuchumi

    Watanzania wengine sijuwi huwa mnawaza nini.., fanya research uje na fact kuliko ujinga huu uliotuletea., labda kama kuna Japan nyingine huko kijijini kwenu na siyo Japan tunayoifaham wengi wetu.
  5. D

    CHADEMA watelekeza wafuasi wao 28 mahabusu kwa kukosa dhamana

    Unakula, unashiba vizuri na unalala vizuri kwa kuridhika na hali yako., kaa kimya na endelea kula na Kulala. Hujuwi hata kuandika., aliniambia nje ya nchi ndio nin..,
  6. D

    Wanawake kuweni makini sana na wanaume

    Habari zenu wana janvi, Imebidi uzi huu niwashirikishe maana ni kitu ambacho hata mimi kimeniuma sana baada ya kutokea. Sisi ni binadamu na huruma mwenyezi Mungu alituwekea katika nafsi zetu japo wapo binadamu wasiokuwa na huruma hata chembe. Kuna jamaa mmoja alikuwa na mahusiano na binti...
  7. D

    Ubunge wa Tundu Lissu usitishwe

    Waza vizuri., yaweza kuwa unawaza huku njaa imekutawala.
  8. D

    Natafuta soko la ulezi

    Habari zenu wana janvi.., kwa mwenye kuhitaji ulezi tuwasiliane maana nina tani saba. Karibuni sana
  9. D

    Zitto Kabwe: Uhuru Wangu wa Maoni Ulilenga Kulinda Uhuru, Haki, Hadhi na Madaraka ya Bunge

    Kweli Mheshimiwa Zito uliyoyasema ni kweli tupu, ila kwa kuwa watu wanasimamia ugali wao, wanaweza wasione umuhim wa mambo uliyoyasema. Serikali ya awamu hii ni sawa na Mzee wa familia asiyetaka kusikilizia maoni ya mtu yeyote na kujiona yeye ni perfect zaidi. Ila wengi walikuja na wakaondoka...
  10. D

    Mwanamke aliye na nia ya dhati, anakaribishwa

    Habari wanajanvi, Namkaribisha Pm mwanamke aliyetayari kwa moyo wake wote na siyo kwa kujaribu, awe mweupe wastani, mrefu, mwembamba na elimu kuanzia form six na kuendelea. Sifa zangu mimi ni mrefu, elimu ya chuo na ninatokea Kanda ya ziwa. Kwa aliye tayari anakaribishwa sana ila ujue nini...
  11. D

    Nawezaje kusimamisha ulipaji wa kodi ya biashara maana haiendi vizuri?

    Sema ni biashara gani ulikuwa unafanaya., halafu. Kama unauza sema maana wakununua hawakosekani
  12. D

    Wenye kumbukumbu mkumbusheni Ndugai kua walikuepo wababe kuliko yeye awamu zilizopita

    Tatizo la mtu mweusi anapopata nafasi flani basi anasahau kama cheo ni dhamana., awaulize wenzake waliopita kuna mambo ya kijinga kabisa walifanya nawanajutia mpaka leo kwa maamuzi yao ya ajabu.., ipo siku mtanzania ataamka na kuondokana na ukoloni wa ndani.
  13. D

    TLS ifutwe tu, haipo kwa maslahi ya nchi bali matumbo yao!

    Fikilia kwanza vizuuuri kabla hujaropoka.
  14. D

    Mwenye kuhitaji ubuyu toka shamba kwa bei ya jumla

    Habari zenu wanajanmvi, Natafuta soko la ubuyu kwa bei ya jumla. Yaani mimi natoa shamba na unakuwa bado haujaandaliwa kwa ajili ya kuliwa. Kwa aliyetayari tuwasiliane kwa namba 0755979447
Back
Top Bottom