Vipi ulisha pata soko la ulezi..?Habari zenu wana janvi.., kwa mwenye kuhitaji ulezi tuwasiliane maana nina tani saba. Karibuni sana
Hivi Hujui hata kuweka eneo ulipo na no ya simu? Mie nahitaji ulezi but tangazo lako linaonyesha Haupo serious au biashara sio yakoHabari zenu wana janvi.., kwa mwenye kuhitaji ulezi tuwasiliane maana nina tani saba. Karibuni sana