Habari za muda wakuu;;
Binafsi nimekuwa ni mfuatiliaji mzuri sana wa matangazo ya TIBA mbadala kutoka kwa wanaojiita madaktari wa tiba asili pamoja na wanaotoa ushauri kwa wanajamii kuhusu aina ya vyakula vya kuimarisha miili mfano matunda na ulaji wa vyakula asili, wengi wao wamekuwa...
cha kufanya toa majibu na Ushauri;
suala mtu kutokuwa mkatoliki sioni kama lina mantiki hapo,
sababu inawezekana anataka kuwa mkatoliki, maana halisi ya kueneza injili ni kuwapata waliopotea, mpe maelezo akielewa ahamie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.