Kausha damu ni Janga kubwa ni vile tu mifumo ya nchi ipo ipo tu so mateso yatazidi Tu..
Mwaka juzi nilikua nafanya kazi kwenye moja ya kampuni ya kausha damu. Sasa kuna dada mmoja alikopa halafu akashindwa kulipa...
Siku moja nimeenda kudai akanikaribisha vizuri ndani kwake nikaingia na kukaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.