Kabla ya kumtusi mtukufu wa watu kwanza mjue alivo kwa undani wake.
Mtume Muhammad (s.a.w) ndie aliyetoa mafundisho ya kuwa "Wafanyieni wema mateka wa vita". Pia ndio yy aloweka sheria za vita ya kuwa "wanawake, watoto na wazee wasiuawe. Miti isikatwe, wanyama wasiuliwe. Vyanzo vya maji...
Haipendez kufanya dhihaka ama kiburi juu ya nafasi si yako.
Chukulia mfano mtu akija jimilikisha mali yako ile ya thamani kubwa kabisa kuwa ni yake, hautahamaki ww, hautamkasirikia, hautapigana nae waziwazi?
Nakushauri acha kabisa, ww pinga dini yoyote usiyoitaka sawa ni maamuzi yako. Lkn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.