Huu mwaka mgumu kwa huyu janja..alianza kutoa sinaga swagga3 ikafanya poa akaongeza 4,5 sijui ADI 6 zimebuma flani..katoa album KWA kiki za demu mzungu kibaoh hakuna kitu...inshort mwaka umemuangukia this tym kijana wetu..mimi pia shabiki sn wa kijana nimeliona kitambo.
Siku hizi maaskofu wanaosimamia hizi kanda za kidini ni makanjanja na wachumia tumbo tuu tofauti na zamani..wakiona mchungaji flani anafanya vizuri na anakubalika wanamuhamishahamisha kumpeleka sehemu mbovu ili asipate shavu akapanda cheo[emoji28][emoji28]
Nadhani mko salama.
Wakuu mimi ni kijana niishie Mafinga ndiko nimeajiriwa huku kitambo kidogo..Ni almost miaka yote mitatu nimekuwa nashindwa kufanya kitu hiki nachokipenda siku zote kiasi kwamba roho huwa inaniuma sana.
Mwenzenu napenda sana mazoezi hasa ya gym..lengo langu nishape kidogo...
Acheni upumbavu raia mabogus ninyi..hivi wewe kama mtanzania halisi unaijua katiba yako full..kifungu hadi kifungu? Hayo ni mapungufu ya kibinadamu tuu,,au ndo kwa vile unawachukia maaskari?
Kwanza,hao wote wanaimba aina ya mziki wa aina moja hususani RNB..wote ni watunzi wazuri sana but rayvanny is more than mario.Pia waweza kuwafananisha kama JUX na BENPOL
IPO HIVI KWA HARAKA HARAKA HUYO DADA INAONESHA NI MCHARUKO,KWANZA HATA KAMA UNATAFUTA MUME SI KWA STYLE ILE YA KUTEMBEA NA BANGO MTAANI SASA HUO UNAKUWA NI UCHIZI,,CHA PILI UKIFUATILIA ANAYOYAONGEA ANAPOHOJIWA HANA AIBU KABISA ETI ANATAFUTA ILI AFIKISHWE KILELENI,,HALAFU WAKATI HUO ANAWAAMBIA...
Sirro huwa namuonea huruma sana huyu afande..jamaa ni intelligent sana,ni kamanda mmoja mpambanaji na mwenye bidii sana tangu jeshi la police..but siasa ndio inamyumbisha huyu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.