Recent content by Dogo G

  1. Dogo G

    JamiiForums Tanzania Pole mwalimu ila hili si tatizo la walimu tu na wengine wapo

    Namkumbuka Academic teacher aliyenifundisha sekondari alikuwa anazungumza mara kwa mara tena pasi kuficha "Ualimu ni Utumwa". Kazi ya ualimu ni wito,mwalimu amefundishwa chuoni kuwa ni MLEZI(kama mzazi) sasa majukumu ya mzazi kwa mtoto ni nini?. Sawa mwalimu amekosea kwa kutojizuia na mihemko...
  2. Dogo G

    JamiiForums Tanzania Ni vigezo gani hutumika kuwapata CDF na IGP?

    Ina maana kuna ambao hawapo kamished na rais ila wana vyeo vya juu? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Dogo G

    JamiiForums Tanzania UNAFIKI uliopitiliza unatumaliza Vijana

    Ndipo hata mimi napokuja kuwapinga woote,suala la kujiajiri ni process,mchakato ule Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Dogo G

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiye Nsato Marijani Aliyelala kwenye gunia jeshini na Magufuli

    Naam,chagonja alikua mtemi kweli hakika hicho kitengo kilimfaa,operesheni na mafunzo inamhitaji kamanda aliyeshap katika utekelezaji na uchukuaji wa hatua,inatakiwa pia achukue hatua binafsi kumaliza matatizo.ndio maana chagonja alikua na roho ya paka na mambo yalienda safi Sent using Jamii...
  5. Dogo G

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiye Nsato Marijani Aliyelala kwenye gunia jeshini na Magufuli

    Kawaida mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Dogo G

    JamiiForums Tanzania Ni vigezo gani hutumika kuwapata CDF na IGP?

    Wadau nadhani kwema, Nisiende mbali sana,ninajua humu kuna ambao wana ufahamu na hizi mamlaka za hawa wakuu wa vyombo vya usalama kama vile Jeshi,Polisi,magereza,uhamiaji lakini hususani Jeshi la wananchi na Police kwa kuwa vinachukua mamlaka kwa kiasi kikubwa na hata uapisho wa wakuu wake...
  7. Dogo G

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiye Nsato Marijani Aliyelala kwenye gunia jeshini na Magufuli

    Kamanda nsato marijani,namuelewa sana huyu mzee kwa busara na kupangilia hoja katika maamuzi mbalimbali.Ninajua chanzo cha yeye kutolewa na kuweka kamanda sabbas. Mkulu anapenda viongozi ambao akiwapa kitengo wanashughulika chaap halafu anapenda mtu binafsi awe anajiongeza.Mfano,Uwepo wa...
  8. Dogo G

    JamiiForums Tanzania Kaniambia ananipenda baada ya kuolewa

    Nyuma ya nyumba Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Dogo G

    JamiiForums Tanzania Kaniambia ananipenda baada ya kuolewa

    Hahaaa nakujua vizuuri sana madam Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Dogo G

    JamiiForums Tanzania Kaniambia ananipenda baada ya kuolewa

    Una maana gan Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Dogo G

    JamiiForums Tanzania Kaniambia ananipenda baada ya kuolewa

    Me skujua kama ananipenda,pia skuwa na wazo nae,i took her like my sister only Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Dogo G

    JamiiForums Tanzania Kaniambia ananipenda baada ya kuolewa

    Nani ana maneno Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Dogo G

    JamiiForums Tanzania Kaniambia ananipenda baada ya kuolewa

    Ee Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Dogo G

    JamiiForums Tanzania Kaniambia ananipenda baada ya kuolewa

    Mbona me nakufahamu wewe Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Dogo G

    JamiiForums Tanzania Kaniambia ananipenda baada ya kuolewa

    Bila shaka unatokea mbeya Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom