Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,765
- 126,676
Jana ni tofauti na leo[emoji3][emoji3]
Jana ni tofauti na leo[emoji3][emoji3]
nakuona wajilau kwa kutofunguka kwamba anakupenda kusikiliziana sio kuzuri kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona wale Wazungu waliokuteka wamekuachia[emoji3][emoji3][emoji3]
Ogopa sana kupokea zawadi ya nguo kwa mtu aliye uchi.
Katika hadithi yote, mi nimeona “UPENUNI” tu. Ndo wapi huko?
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji23][emoji23][emoji23] huwezi kuwa serious. Halafu kumbe unanifaa sana na mimi nawapenda hao kweli. [emoji1]Hivi lavalava ndo Nani!??
[emoji23][emoji23][emoji23] Nawajua tu kina goodluck na Paul Clement na kina Joel lwaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale wa zamani zamani nawajua kidogo[emoji23][emoji23][emoji23] huwezi kuwa serious. Halafu kumbe unanifaa sana na mimi nawapenda hao kweli. [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko vizuri basi usifuate ya dunia [emoji1][emoji1]Wale wa zamani zamani nawajua kidogo
Wa Siku hizi siwajui[emoji23][emoji23]
Hata kwenye simu yangu hakuna nyimbo zao
Sent using Jamii Forums mobile app