FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,106
- 2,789
Alikuwa mzito jamaaAlikwambia mara kadhaaa!! Lakini uwezo wako wa kuelewa alichokuwa anasema ndio mdogo. Alikuwa anatumia signs.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa mzito jamaaAlikwambia mara kadhaaa!! Lakini uwezo wako wa kuelewa alichokuwa anasema ndio mdogo. Alikuwa anatumia signs.
Ogopa sana kupokea zawadi ya nguo kwa mtu aliye uchi.
Duuuu ameamua kutoa dukuduku la moyoni baada ya kuolewa, kazi kwelikweli.
Alikupa hadi mkopo wa mboga ila alisahau kukupa namba/kumpa namba ya kuulizia deni lake.
Muulize utanipa namba/utaniomba namba lini ili iwe rahisi kuulizia deni
Sasa badala ya kugegeda unakuja kumtangaza huku?
Hivi kwanza wewe ni mwanaume wa wapi?
Huyo alishaolewa huwezi kuwa nae
Alifanya makosa kutokuwa wazi mapema
Mimi kama nmempenda mtu kwa dhati toka moyoni nitavumilia nitashindwa mwishowe nitamwambia tu bila kujali atanichukuliaje .,kwani Ni dhambi!??? ,na hii hutokea Mara chache sana...kwa sababu najijua mtoto wa watu Sio Malaya mie...na Hadi nimemfata kumwambia nimeacha wote walionitongoza nikamfata yeye Basi ajue nampenda kwa dhati
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Tamaduni ya Mwafrica . Tamaduni ya kutongoza 95%au zaidi duniani mwanaume ndio humtongoza mwanamke. Angalia hata kwenye mayoutube. Asilimia kubwa ya wanawake akikupenda atakutega. Sasa wewe ulifikiri unapewa mboga bure na wewe unachukua bila kusoma mchezo. We bado mtoto. Mimi nko Thailand ivi sasa. ni kawaida ya mwanaume kumtongoza mwanamke. Sio kawaida mwanamke kumtongoza mwanaume. Ila mwanamke kazi yake ni kutega mtego. Ukinasa unakuwa wake. Mwanamke anakutongoza mwanaume indirectly kama hauna akili basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikwambia mara kadhaaa!! Lakini uwezo wako wa kuelewa alichokuwa anasema ndio mdogo. Alikuwa anatumia signs.
Hivi lavalava ndo Nani!??
[emoji23][emoji23][emoji23] Nawajua tu kina goodluck na Paul Clement na kina Joel lwaga
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1]Alikupa hadi mkopo wa mboga ila alisahau kukupa namba/kumpa namba ya kuulizia deni lake.
Muulize utanipa namba/utaniomba namba lini ili iwe rahisi kuulizia deni
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]