UNAFIKI uliopitiliza unatumaliza Vijana

UNAFIKI uliopitiliza unatumaliza Vijana

Pilot_In_Command

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2013
Posts
2,507
Reaction score
3,459
Hii wiki ni wiki ya Maombolezo ya msiba wa Ndugu, Mtanzania mwenzetu Ruge.

Ndani ya msiba huu, kuna Wimbi kubwa la Wanafiki ambao na elimu zao na nyadhifa zao wanaendeleza Kuibua Wanafiki wengine mtaani

ni kwel Ruge alisaidia vijana? Jibu ni ndio/hapana kulingana na aliyeulizwa ni mtu wa aina gani automatically ukimuuliza mfanyakazi wa clouds atajibu ndio ili kulinda kibarua chake.

Turud kwenye Point

Kiongozi anasimama mbele ya Umati, na kuwaomba vijana WATAFUTE FURSA wajiajiri wasitegemee Kuajiriwa hii kauli ni ya Kinafiki..

Kwanini yeye (kiongozi asiache kazi yake aende kujiajiri? Kwanin aliamua kugombea uongozi kwani hakuona FURSA?)

FURSA ni rahisi kusema zipo ila ukwel unajulikana huwezi kukamata Fursa ikiwa MIKONO ya kukamata Fursa hauna...

Hakuna anayependa kuishi Maisha ya Tabu, ila kikwazi ni NITAANZIA WAPI?? napinga hali ya kusema Vijana msitegemee kuajiriwa ikiwa unaeongea hivyo UPO KAZINI umeajiriwa.

Tuache UNAFKI

mmeshindwa kutengeneza MAZINGIRA ya Kupatia Raia ajira, mmepata kisingizio cha Raia Kujiajiri?

Mmeweka Kodi na vitambulisho kibao ili anayejiajiri Awe ajira kwenu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walimu wanaofundisha ujasiliamali chuoni/Shule wao wenyewe wameajiriwa na shule/chuo na cha kusikitisha hawana hata kioski au hata genge mtaani na wanasisitiza sana watu wajiajiri katika mafunzo yao huku wakiorodhesha fursa zilizopo mtaani.
 
Unafiki hautaisha.. Unakuta wanakazana kuwapa maneno Makali mjiajiri wakati wenyewe ndio wataalam wa kukinga mikono mwisho wa mwez.
Walimu wanaofundisha ujasiliamali chuoni/Shule wao wenyewe wameajiriwa na shule/chuo na cha kusikitisha hawana hata kioski au hata genge mtaani na wanasisitiza sana watu wajiajiri katika mafunzo yao huku wakiorodhesha fursa zilizopo mtaani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wa Tanzania wengi ni wanafiki kwangu mm hili nilisha ridhibitisha kupitia ubishani wa hapa jukwaani ambapo kwa tuliopo Nchini Tanzania na wa Tanzania waishio nje yaan Diaspora,utashangaa mtu anakwambia Tanzania kuna fursa kuliko Canada,USA,Norway etc lakn mtu huyohuyo ukimwambia akuonyeshe hizo fursa anaishia hewani au anakutajia fursa inayohitaji mtaji mkubwa,elimu na maarifa vitu ambavyo ni changamoto kuwa navyo kwa kijana anaanza maisha...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie nakawaida ya kuheshimu Mtu, hasahasa yule mwenye Ajira yake na anayetegemea biashara yake.. Kuendesha maisha yake sio kazi rahisi

Nakaa chini nafikiria muda mtu unaoupoteza na gharama kuongeza maarifa alaf ulichokisomea usikifanyie kazi.. Hakiingii akilini.. Nisomee Kuwa rubani alaf niuze Viatu ya kimasai.. (Kwa uhalisia wa kinafki watu watakubari kuwa ni fursa ila uhalisia wa Kimaisha Hapana ni Kitendo cha kudidimiza maendeleo na nguvu kazi)
Ukweli usemwe, kujiajiri ni kazi sana.


Na ukiona mtu amejiajiri hata kufungua kioski tu na akadumu nacho hata mwaka tu mpe heshima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ajira imo ndani ya Fursa.. Sikatai ni kweli

Watanzania tuna tabia ya kubadili. Maana ya neno

Fursa sikuizi inatumika kama *USIAJIRIWE/JIAJIRI* hivyo basi hata ukipewa fursa ya kuwa Kiongozi wa sehem flani hiyo sio FURSA wanayoitaka wakina Ruge.. Wao wanataka FURSA ya ww kutengeneza Brand yako kwa jasho lako pasina mkono wa mtu mwingine.
Hata AJIRA ni Fursa. Tatizo linaanza watu wanapodhani fursa ni kitu kingine ambacho sio ajira.
katika Universal set ya Fursa na ajira imo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii wiki ni wiki ya Maombolezo ya msiba wa Ndugu, Mtanzania mwenzetu Ruge.

Ndani ya msiba huu, kuna Wimbi kubwa la Wanafiki ambao na elimu zao na nyadhifa zao wanaendeleza Kuibua Wanafiki wengine mtaani

ni kwel Ruge alisaidia vijana? Jibu ni ndio/hapana kulingana na aliyeulizwa ni mtu wa aina gani automatically ukimuuliza mfanyakazi wa clouds atajibu ndio ili kulinda kibarua chake.

Turud kwenye Point

Kiongozi anasimama mbele ya Umati, na kuwaomba vijana WATAFUTE FURSA wajiajiri wasitegemee Kuajiriwa hii kauli ni ya Kinafiki..

Kwanini yeye (kiongozi asiache kazi yake aende kujiajiri? Kwanin aliamua kugombea uongozi kwani hakuona FURSA?)

FURSA ni rahisi kusema zipo ila ukwel unajulikana huwezi kukamata Fursa ikiwa MIKONO ya kukamata Fursa hauna...

Hakuna anayependa kuishi Maisha ya Tabu, ila kikwazi ni NITAANZIA WAPI?? napinga hali ya kusema Vijana msitegemee kuajiriwa ikiwa unaeongea hivyo UPO KAZINI umeajiriwa.

Tuache UNAFKI

mmeshindwa kutengeneza MAZINGIRA ya Kupatia Raia ajira, mmepata kisingizio cha Raia Kujiajiri?

Mmeweka Kodi na vitambulisho kibao ili anayejiajiri Awe ajira kwenu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana wa Kitanzania ni wachapakazi sana,
Wakipewa pa kuanzia.
Vijana wengi ambao wameanzisha makampuni kama clouds,walipata sehemu ya kuanzia,ama kutoka kwa wazazi wao,kama Kina Kusaga na Ruge,au walianzia kwenye ajira,wakapiga pesa,wakanazisha makampuni,huku bado wanaendelea na ajira zao nono.

Suala la kujiajiri na kukamata FULSA,kwa kijana aliyetoka Chuo,ni gumu sana kama hauna msingi wa kifedha nyuma yako.
Watoto wa wakubwa wengi,wakimaliza vyuo,wanashikwa mikono,wanawekwa kwenye ajira nono,kama kujiajiri ni rahisi kwanini hawaendi kukamata fulsa?

Nimefanya kazi,na vijana wengi,ambao sasa HV wanamiliki makampuni,lakini iliwachukua miaka kama 10,kuweza kuanzisha makampuni,na wakati wanaanzisha,wameishapata mtaji wa pesa na connections(watu wanaotoa tender za kazi).

Kuna kampuni moja hipo mjini hapa,ofisi yao ya kwanza ilianzia kwenye sebule ya mmoja wa wazazi wa Kijana mmoja,na walitumia magari ya wazazi na marafiki wa wazazi,kuziamisha idara za serikali wakati wa kupewa leseni.

Sasa HV ni kampuni kubwa,wale walioianzisha,wameweka vijana wengine wasimamie shughuri za kila siku,wenyewe wamebaki kama Wakurugenzi,na washauri tu,wapo kwenye Early 50+,
Sasa kijana atoke shule Leo,anzishe kampuni Leo!!
Utaweza wapi!
Cha kwanza ajira,au mtaji Fedha,mawazo vijana tunayo mengi,wengine tunaplan mpaka ya kutengeneza AIRBUS!!!!
Aluta continua !!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana wa Kitanzania ni wachapakazi sana,
Wakipewa pa kuanzia.
Vijana wengi ambao wameanzisha makampuni kama clouds,walipata sehemu ya kuanzia,ama kutoka kwa wazazi wao,kama Kina Kusaga na Ruge,au walianzia kwenye ajira,wakapiga pesa,wakanazisha makampuni,huku bado wanaendelea na ajira zao nono.

Suala la kujiajiri na kukamata FULSA,kwa kijana aliyetoka Chuo,ni gumu sana kama hauna msingi wa kifedha nyuma yako.
Watoto wa wakubwa wengi,wakimaliza vyuo,wanashikwa mikono,wanawekwa kwenye ajira nono,kama kujiajiri ni rahisi kwanini hawaendi kukamata fulsa?

Nimefanya kazi,na vijana wengi,ambao sasa HV wanamiliki makampuni,lakini iliwachukua miaka kama 10,kuweza kuanzisha makampuni,na wakati wanaanzisha,wameishapata mtaji wa pesa na connections(watu wanaotoa tender za kazi).

Kuna kampuni moja hipo mjini hapa,ofisi yao ya kwanza ilianzia kwenye sebule ya mmoja wa wazazi wa Kijana mmoja,na walitumia magari ya wazazi na marafiki wa wazazi,kuziamisha idara za serikali wakati wa kupewa leseni.

Sasa HV ni kampuni kubwa,wale walioianzisha,wameweka vijana wengine wasimamie shughuri za kila siku,wenyewe wamebaki kama Wakurugenzi,na washauri tu,wapo kwenye Early 50+,
Sasa kijana atoke shule Leo,anzishe kampuni Leo!!
Utaweza wapi!
Cha kwanza ajira,au mtaji Fedha,mawazo vijana tunayo mengi,wengine tunaplan mpaka ya kutengeneza AIRBUS!!!!
Aluta continua !!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo yapo ya kutosha ila Mtaji hakuna.. Support hakuna..

Wanasema eti vijana hawana moyo wa kuthubutu.. Nawaangalia nacheka tu.. Mie Nitafanya Kazi ya kuajiriwa pia NITAJIAJIRI na kuajiri wengine hiyo ni Life cycle ambayo haipingiki.. (KUAJIRIWA[emoji654]KUJIAJIRI[emoji654]KUAJIRI)

Yaleyale ya Kutaka mtu mwenye uzoefu wa miaka 8 katika kazi hali ya kuwa mhitimu wa chuo hana hiyo experience atapataje kazi? Unafiki unafiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walimu wanaofundisha ujasiliamali chuoni/Shule wao wenyewe wameajiriwa na shule/chuo na cha kusikitisha hawana hata kioski au hata genge mtaani na wanasisitiza sana watu wajiajiri katika mafunzo yao huku wakiorodhesha fursa zilizopo mtaani.

Kwanza nu ukichaa wa half ya juu kuamini ujasiriamali unafundishwa darasani. Nikituko ujue. We ng I waliosomea ujasiriamali darasani wanatafuta ajira. Wakijikomboa sana wanajidai motivational speaker.
 
Hahahaaaa Kabisa ndio hao walioanza na Mitaji ya Elfu 10 Malikia wa Nguvu.

We waache waendelee kuwaingiza chaka maboya. Halafu hawasemi ukweli, kwamba sio kila mtu mjasiriamali, wanatulazimisha tu tuwe wajisiriamali. Wanasiasa kuna mahali wamefeli sasa wanatumia ujasiriamali kama uchochoro wa kukimbia ukweli/kosa lao, kenge hawa.
 
Back
Top Bottom