Nakumbuka nilianza kuisoma mwishoni mwa mwaka 2023 mpaka naimaliza mwaka jana. Lakini mwaka huu mwezi wa kwanza nikairudia tena na nikamaliza mwezi wa tatu.
Sasa leo nimeamua kuanzia kesho muda wangu huru nitautumia kuirudia kwa mara nyinine tena. Karibuni tukairudie wote NILIMDHANIA KAHABA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.