Pole Sana dogo hasa ktk kipind hiki kigum cha kupotelewa na mama yako kipenz najua unauchungu Sana kuhus hilo lkn hata sisi tunauchungu Sana lkn tunaamin kua maandiko yatafanya kaz kua atakae ua kwa upanga nae atauliwa kwa upanga mwenyez mungu ampunguzie adhab ya kabur mama yako kipenz Amina.
Waleykum muislam nikwel tulizoea kuona hilo but sijaliona kwa leo lkn nadhan mbali na uchum Kubana lkn bado mapema Sana nafikir watafanya hivyo mana sidhan kwamba kumtolea mungu kunaangalia kipato noo
Tunaiomba mahakama iwe inatupa taarifa mara tuu watuhumiwa Hao wamauaji wanapopelekwa mahakaman had hukum zao ziwe waz nafikir hiyo itapunguza machungu kwa wafiwa Kwan matukio kama hayo Hua yanaumiza Sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.