Recent content by Doctor MD

  1. Doctor MD

    Muda wa kurejea kupima H-PYLORI

    Ukisoma maelekezo yangu utaelewa wapi kwenye makosa panapotakiwa kurekebisha
  2. Doctor MD

    Muda wa kurejea kupima H-PYLORI

    Mbona hujamaliza dozi Mana ilipaswa utumie kwa siku 14 kisha uendelee na pantoprazole kwa mwezi mzima Baada ya kumaliza pantoprazole unakata week 2 ili ukapime tena
  3. Doctor MD

    Mke wa jamaa yangu ni kikojozi

    Nashauri akutane na daktari bingwa wa mfumo wa mkojo amchunguze kwa undani na kama huna unayemfahamu njoo dm nikupe maelekezo zaidi
  4. Doctor MD

    Kuhisi kama kuna kitu kizito kifuani upande wa kushoto

    Fika hospital mapema na kama upo dar ongea tukupe maelekezo ya wapi utapata msaada kirahisi
  5. Doctor MD

    Maajabu ya Mungu yalivo muumbua daktari

    Hebu mtu asome hapo aelewe shida ya ugumba haionyeshwi kupitia computer huyo aliwapiga pesa
  6. Doctor MD

    Nchi 10 za Afrika zilizo salama kwa watalii kutembelea 2026. Tanzania haimo

    Mbona balaa hebu hatua mathubuti kwa serikali zichukulowe
  7. Doctor MD

    Kitu gani ulifanya mwaka jana na hutamani mwingine akosee kama wewe?

    Kusilkiliza ushauri wa watu na kuufuata
  8. Doctor MD

    VODACOM UNLIMITED PRE PAID BUNDLE

    Hv inawezekana kuiunga namba ya airtel bila kuwa na router?
  9. Doctor MD

    VODACOM UNLIMITED PRE PAID BUNDLE

    Airtel yupo vizuri mno
  10. Doctor MD

    VODACOM UNLIMITED PRE PAID BUNDLE

    Vigezo vyake vikoje? Ukiachana kuwa na router
  11. Doctor MD

    Tumia Router za Fiberhome kama Access Point (AP)

    Mm nahitaji router ijayo support line zote
  12. Doctor MD

    Tumia Router za Fiberhome kama Access Point (AP)

    Nashukuru sana mkuu ngoja nifuatilie
Back
Top Bottom