Recent content by Doctor MD

  1. Doctor MD

    JamiiForums Tanzania KERO Nimelipia vipimo kisha nikaambiwa nilipie tena kupewa majibu katika Hospitali ya Rufaa ya Tumbi - Kibaha

    Huo ni utaratbu wa hospital zote mcha msingi tafuta bima ya afya itakusaidia zaidi mana ukiendelea kulalamika bila kuharakisha matibabu yako haisaidii
  2. Doctor MD

    JamiiForums Tanzania Muda wa kurejea kupima H-PYLORI

    Ukisoma maelekezo yangu utaelewa wapi kwenye makosa panapotakiwa kurekebisha
  3. Doctor MD

    JamiiForums Tanzania Muda wa kurejea kupima H-PYLORI

    Mbona hujamaliza dozi Mana ilipaswa utumie kwa siku 14 kisha uendelee na pantoprazole kwa mwezi mzima Baada ya kumaliza pantoprazole unakata week 2 ili ukapime tena
  4. Doctor MD

    JamiiForums Tanzania Mke wa jamaa yangu ni kikojozi

    Nashauri akutane na daktari bingwa wa mfumo wa mkojo amchunguze kwa undani na kama huna unayemfahamu njoo dm nikupe maelekezo zaidi
  5. Doctor MD

    JamiiForums Tanzania Kuhisi kama kuna kitu kizito kifuani upande wa kushoto

    Fika hospital mapema na kama upo dar ongea tukupe maelekezo ya wapi utapata msaada kirahisi
  6. Doctor MD

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Mungu yalivo muumbua daktari

    Hebu mtu asome hapo aelewe shida ya ugumba haionyeshwi kupitia computer huyo aliwapiga pesa
  7. Doctor MD

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa ukishindwa kupanda ndege basi tena

    Mambo ni 🔥
  8. Doctor MD

    JamiiForums Tanzania Nchi 10 za Afrika zilizo salama kwa watalii kutembelea 2026. Tanzania haimo

    Mbona balaa hebu hatua mathubuti kwa serikali zichukulowe
  9. Doctor MD

    JamiiForums Tanzania Kitu gani ulifanya mwaka jana na hutamani mwingine akosee kama wewe?

    Kusilkiliza ushauri wa watu na kuufuata
  10. Doctor MD

    JamiiForums Tanzania VODACOM UNLIMITED PRE PAID BUNDLE

    Hv inawezekana kuiunga namba ya airtel bila kuwa na router?
  11. Doctor MD

    JamiiForums Tanzania VODACOM UNLIMITED PRE PAID BUNDLE

    Airtel yupo vizuri mno
  12. Doctor MD

    JamiiForums Tanzania VODACOM UNLIMITED PRE PAID BUNDLE

    Vigezo vyake vikoje? Ukiachana kuwa na router
  13. Doctor MD

    JamiiForums Tanzania Tumia Router za Fiberhome kama Access Point (AP)

    Mm nahitaji router ijayo support line zote
Back
Top Bottom