ni kweli kabisa hata mimi nimeitumia sana hii nawawekea hata wale wa nje hivi sasa shwari kabisa.Hii dawa wanapokula inakwenda kuyeyusha mifupa kemikali zake zinapocombine na mifupa ya panya
Tanzania tumekabidhiwa kuongoza SADC kwa mwaka mmoja ambapo Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Magufuli alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa SADC,huku Prof Palamagamba Kabudi akichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa SADC na Dkt Faraji Kasidi akichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Makatibu Wakuu wa...
Ushauri kwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kuanzisha safari za kwenda kisiwa cha Mafia.
Kisiwa cha Mafia kina uwanja wa ndege ambao una uwezo wa kupokea ndege aina ya Fokker Friendship ambayo ATCL wanayo.Hivi sasa ndege zinazokwenda Mafia ni ndogo ambazo zinabeba abiria wachache na gharama...
Ni kweli Rais Magufuli ana upendo na katika ziara zake maeneo yote hapa nchini hawezi kupita na kukuta watu wamekusanyika alafu asisimame, ni lazima atasimama na kuzungumza na hao wananchi.
Wananchi watamweleza shida zao na yeye anazitatua hapo hapo,tumeshuhudia baadhi ya maeneo amekuwa...
katika mahojiano ya kiswahili hivi karibuni na BBC,Prof Kabudi ameeleza Azory ametoweka hakusema amekufa na latest information ndiyo yenye kuweka clear taarifa yenye mgogoro
Profesa Kabudi anafanya kazi nzuri,ni mmoja wa mawaziri wanaofanya kazi zao kwa weledi na ufanisi mkubwa,jambo moja haliwezi kummfanya Profesa Kabudi aonekane kashindwa kazi wakati mambo mengi makubwa kwa nchi ameyafanya na anaendelea kuyafanya.
Kwa mfano Prof Kabudi ndiye aliyeandesha...
Wizara ya Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inafanya kazi nzuri katika kukuza uchumi wa Taifa hili na maendeleo ya jamii.Huko nyuma tulizoea kuona wizara ya mambo ya nje ni ya kuwakilisha kwenye mikutano mbalimbali ya nje ya nchi lakini sasa mwelekeo umebadilika.Wizara kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.